Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,147
- 1,077,172
Land Cruiser aisee Mjapan alijitahidi sana. Ninalo la mwaka 1996 na mpaka leo liko imara ajabu. Vinaharibika vitu vya pembeni tu lakini injini iko ngangari ajabu mpaka fundi ananiambia Land Cruiser hizi za mwanzo mwanzo injini zake zilikuwa imara sana na hutakaa uiharibu. Mpaka nimeamua kuligeuza pick up lipige shughuli za kubeba nyanya na dengu huko vijijini.
Nilisikitika niliposikia kuwa wameachana kuyatengeneza rasmi labda tu kwa oda maalum.
Nilisikitika niliposikia kuwa wameachana kuyatengeneza rasmi labda tu kwa oda maalum.