Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,296
- 33,079
Kwanini hawataweza kuvuka hilo Daraja? wewe unafikiriaje?hAWAWEZI KUVUKA HATA KIDOGO
Kwasababu wamemtimua Konda mwaminifu wamemweka konda mwizi.Kwanini hawataweza kuvuka hilo Daraja? wewe unafikiriaje?
Limeshapinduka tayari hata kilomita moja haijafikwa ndiyo basi tena ha ha ha ha ha !.View attachment 124126
Kabla hata kuanza kuvuka tayari limekula mweleka
Watavuka Kama wakiacha uoga na malumbano ndani
Watavuka wakiacha udini na ukabila
CCM ni chama cha KIISLAM