mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,697
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie vijana hizi comments zenu ni hatari yaani nimejikuta nacheka ghafla mpaka jamaa zangu hapa wameniuliza eti ninacheka nini....
Kukiwa na network ya vikamera stable (outdoor) ambavyo sio rahisi kuhujumiwa kila kwenye maeneo ya kimkakati ambapo spidi haitakiwi kuzidi kiasi flani. Alafu kukawa na control room ya kumonitor magari na spidi kwa siku Moja mapato ya Overspeeding yanaweza kuzidi Budget ya Taifa ila Ikijulikana yatarudi 0 kama jamaa watakuwa tayari kubadilika.Hapa kwenye mlima wa kibamba kuinukia kiluvya kibao cha 50 kimekata lakini wazee wanaweka tochi ivyo ivyo ukifika kuluvya tu wanakusimamisha utasikia umepigwa tochi uko nyuma,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ana bima huyoKukiwa na network ya vikamera stable (outdoor) ambavyo sio rahisi kuhujumiwa kila kwenye maeneo ya kimkakati ambapo spidi haitakiwi kuzidi kiasi flani. Alafu kukawa na control room ya kumonitor magari na spidi kwa siku Moja mapato ya Overspeeding yanaweza kuzidi Budget ya Taifa ila Ikijulikana yatarudi 0 kama jamaa watakuwa tayari kubadilika.
hizi picha zitawekwa kwenye makumbusho ya Taifa.
Mkuu wao hawafanyi Sanaa hizi mbele kweli kuna kameraAcha nikuambie mkuu siku zote ukijua ni watu gani walio kuzunguka ni rahis sana kuwatawala hapo wameweka ilo tagazo sehem ambayo hamna hata iyo camera, hapo kama ww ni dereva ukiliona mentally uta puguza speed ukizani kuna kamera lkn baada ya mda kidogo utajua umesha pita speed camera sasa ndo mda unakanyaga mafuta speed 120 sasa ndo unakutana na camera yenyewe unapigwa fini kirahis unabaki unajiuliza imekuwaje.... Police ni wajanja hatari yani ukienda kichwa kichwa umeenda