Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
- Thread starter
- #161
Unajuwa unanishangaza kunambia kuwa nyie ni mabingwa wa kulima lakini kila yangu siku kilio cha njaa na huku mnakosema hatulimi husikii kufa mtu na njaa.
Hivi usukumani wanakufa na njaa? sasa ndg yangu hv kilimo kwanza matrecta yote yameenda wapi?yako mjini mzee wangu, matajiri, chakula tunachopata kwa kulima na mkono sio chingi na tunategemea hicho hicho uuze upate hela ya matumizi....hatuna income ingine kama mafisadi na wenye dini yao ya kuabudu hela...