Hili bango limenifanya niwaze sana, una maoni gani?

Wewe mbona punguani wewe hivyo unataka kushindana Kiswahili na mimi mwenye lugha? Kujaga na kufuataga haimo ndani ya kamusi ya Kiswahili na wewe naona unatumia. Okay basi natutumie hiyo lugha unayoijuwa wewe hata ukaweza kuona makosa kwenye bango> Posti inayofuata andika Kingereza unijaribu kwani Kiswahili unaona sikijuwi.

hahahahhaa lugha nayoijua, twende kwa mzee si si au Ich liebe dich, kama upo hapo
 
Naona sijakuelewa unabwabwaja nini hapa. Kumbe Hujuwi Kiswahili wala hicho Kingereza kwani angalau ungekuwa shujaa wa kutosha kutaka kunijaribu.








nani ana muda wa kukuaibisha wewe? hakuna wakukujaribu wewe, ndugu hamna hapa ushindani, haya unajua kithungu, umeshinda sawa YAKHE?
 
Usidharau Taarabu kwani huko TOBORA ulikotoka tumeshaifikisha.


Umetaja Tabora ila mie natka The Rock City, the really Ngosha the don, bashosha ng'ombe, chapa jembe yenyewe sio ya kufodge, tabora ni wanyamwezi, vitu viwili tofauti kabisa lkn wote full energy kunako kilimo kwanza, Taarabu kumbe unaimbaga eeehhhh
 
Huu ni ujinga. Andikeni mambo yatakayoleta maendeleo kwa Watanzania. Pumbafffff.

Kwenye Ass Of God ulicheka sana eeeeehhhhh, hilo lilikuwa ni la kuleta maendeleo au sio? Ulimtukana mamba kabla ya kuvuka mto **** wewe, Allah asije tu akawa ILMU yake ni ya SKULI sio SHULE....
 
Mkuu acha mambo yako hayo, UNITED STATES? ya wapi hiyo? wewe hukudhani america imevamiwa?soma vizuri bila zile mistakes

Nimekusoma mkuu, sema nimeelewa wenye bango wana maanisha nini.

Nadhani wanapinga uvamizi wa kinguvu wa USA na Europeans dhidi ya mfadhili wao mkuu Ghadafi, nani atarepair misikiti na kugawa tende za misaada Ghadafi aking'olewa madarakani?

Waliandika wakiwa na hasira ukizingatia hiyo lugha (english) ni ya maadui wao americans na europeans.
 
Nimekusoma mkuu, sema nimeelewa wenye bango wana maanisha nini.

Nadhani wanapinga uvamizi wa kinguvu wa USA na Europeans dhidi ya mfadhili wao mkuu Ghadafi, nani atarepair misikiti na kugawa tende za misaada Ghadafi aking'olewa madarakani?

Waliandika wakiwa na hasira ukizingatia hiyo lugha (english) ni ya maadui wao americans na europeans.

Eti alitaka Tz iwe nchi ya Kiislam, halafu huyu jamaa Ghaddaf si ana Ugomvi na Europeans sasa wameona hapa pa Kutokea, kweli wamemkamata korodanii hatapumua wallah, chanse ya kunyonya mafuta waliitamani long tym sasa wametimiza dreams zao, JK mbona kimya?
 
Mami,
Kwanza Tabora tunaandika kwa herufi kubwa maana ni jina la Mkoa. Unataka Mzenji akucheke? Na wewe Ngekewa, mji wangu angalia vizuri unavyoandikwa, Mpemba wee.......

Mami naona kumbe hufahamu vizuri kabila lako. Hakuna tofauti kati ya Mnyamwezi na Msukuma. Hizo ni tofauti za watu wasiolijua haswa kabila la Wanyamwezi. Mie leo nikija Mwanza, wazazi wako (naamini watakuwa wanaelewa) hawataniita Mnyamwezi ila wataniika MDAKAMA. Na wewe ukija kwetu, tutakuita Msukuma. Sasa kama mie ni Mdakama na wewe ni Msukuma, Mnyamwezi yuko wapi?

Ndiyo maana Watu wa Shinyanga huwa wanajiita wao ndiyo WANYAMWEZI haswaa maana wako wapo KATIKATI.

Sijui kama unafahamu maana ya SUKUMA na DAKAMA (ukimalizia na KIYA & MWELI). Hizo ni PANDE NNE za DUNIA yaani Kusini, Kaskazini. Nye ni WaKASKAZINI na sisi ni WaKUSINI. Hizo ni Pande tu Mwanawane na si KABILA.

Ukija kwenye Historia, Mirambo alichapachapa Makabila mengi kuzunguka Tabora na kila Kabila alilopigana nalo, hadi leo tuna utani nao. Utashangaa pamoja na kuziweka Shinyanga na Mwanza chini ya Utawala wake, hakuna utani kati ya Msukuma na Mdakama (Mnyamwezi). Hii ni kwa sababu, ni kabila moja.

Kuhusu tofauti ya Maneno, hiyo ipo sana tu. Hata Tabora kwenye miji kama Nzega, Usoke, Inyonga, Sikonge nk kuna vitofauti kwa mbaali na wote huwa tuna shida kumsikiliza mtu mmoja tu, NYANTUZU. Huyu bwana haijulikani kama kweli ni Msukuma. Ni kama Mjamaica mwenye Uraia wa UK na kuishi hapo UK.

Nina imani siku moja, tutakuja kuyaunganisha Makabila yote ya Tabora, Shinyanga na Mwanza na kuwa na neno moja tu WANYAMWEZI. Ila hata leo hii, kuhesabu watu, Wanyamwezi na Wasukuma wanawekwa kwenye Furushi moja na hapo kuwa na kabila kubwa kuliko yote Tanzania kwa asilimia karibu 15%. Shinyanga na Mwanza haziwezi kuleta hiyo idadi..........................

Sipo hapa kujifanya na mie ni MSUKUMA. I'm happy and Proud to be Mnyamwezi/Mdakama wa Sikonge na ndiyo maana hata ID yangu ya JF ni SIKONGE, yes MWANANGWA wa Sikonge aka MNYANGULU.
Umetaja Tabora ila mie natka The Rock City, the really Ngosha the don, bashosha ng'ombe, chapa jembe yenyewe sio ya kufodge, tabora ni wanyamwezi, vitu viwili tofauti kabisa lkn wote full energy kunako kilimo kwanza, Taarabu kumbe unaimbaga eeehhhh
 
Ngekewa,

Huko Zenji mmefanya kasumba mbaya ya kila mtu asiye Mzenji, mnamwita Mnyamwezi. Siku tukija kushika URAHISI wa nchi hii, tutahakikisha hili neno MNYAMWEZI ndiyo Mtumwa wetu LINAKUFA.

Inabidi siku moja nije niwe na kampuni langu hapo Zenji na niajiri Wapemba. Hapo mtachekea Msalani maana Wapemba wameajiriwa na Mnyamwezi. Na nitakuwa kila sehemu najitangaza kama Mnyamwezi......

1. Mnyamwezi anatafuta wafanyakazi kwenye kiwanda......
2. Mnyamwezi anakualikeni kwenye sherehe..........
3. Mnyamwezi anaistisha mkutano............
4. Mnyamwezi kamfukuza kazi Ngekewa kwa UVIVU na ULEVI kama mjomba wake Ahmada (Bi. Kidude).
 
sasa misamaha ya kodi na mashambulizi dhidi ya Dikteta Gadaffi wapi na wapi?


Angalau wangetumia hiyo misamaha ya kodi kujenga na kuendeleza shule ili waislamu waelimike na kuona mambo ktk mtazamo mpana zaidi,.....th! th! th! nafikiri hata hizo grammatical errors kwenye hilo bango zisingekuwepo kama waislamu wangetumia jitahada zao kwenye kujielimisha kuliko kung'ang'ania mambo ya udini.
 
me i hate you with your low knowledge of understanding issues! This shows hw your thinking capacity is limited smwhere pliz try to open up urmind and see hw world is going on usiishie kukariri then ur concluding madrasa, me pia ni madrasa and am good enough compared with you! ZEZETA.

Kweli wewe madrasa ndio maana ukaanza na "me I hate you"
 
Hii mesege hadi umalize kuisoma kichwa kinauma, alowaandikia awa jamaa ni nani, jamani si bora tu kubaki na lugha mama yetu tu? Ni kama unatafuna mchanga!
 
Mwenye tafsiri ya lugha hii atusaidie jamani; inaonekana kama kiingereza lakini sijui ni maneno ya li lbya au? Ivi kukimbia shule/umande aibu ehe???? Sasa si bora badala ya kuandamana muende mchikichini kwenye tuisheni ya sh.100 kwa saa ya kiingereza???????
 
kuna baadhi ya watu hawafai kuwa memba wa jamii forum kutokana na reply zao ha nthink critically at all hao waislamu kukosea kwenye hilo bango haimaanishi waislamu wote wapo nyuma kielimu tuache kukomit fallacy(hasty generalization) tujaribu kufikiri kwa makinii stupid
 
Back
Top Bottom