AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
Wana JF nimekutana na kisa ambacho kimeniacha na mshangao wa ajabu na kujiuliza hivi binadamu wengine kwenye vichwa vyao kunasehemu ya akili ?, Hii ni baada ya kusikia gumzo la vijana wa Uswazi eneo la Tandale ambapo mmoja alikua akimsimulia mwenzie mikasa ya jirani yao ambaye mkewe alimegwa na mfanyabiashara na kupata ujauzito...Jamaa alikaa kimya hajasema lolote na mtoto alipozaliwa ambaye ni wa kike akawa anafanana na huyo mfanyabiashara. Baba akaamua kumlea mtoto kwa mapenzi ya hali ya juu bila ya kuuliza chochote na binti alivyokomaa baba akaanza kummega huku akionyesha mapenzi yake wazi kwa mtoto huyo kwa mwizi wake mfanyabiashara. Hali hiyo imemuuma sana baba aliyeiba penzi na kufikia hatua ya kumueleza mke wa jamaa kuwa mtoto wetu anamegwa na mumeo. Mama kaishiwa nguvu hawezi kumueleza mumewe anajua so limebumbuluka... wote wanashindwa pa kuanzia. Inge kuwa wewe ungefanyaje ?