Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,593
- 2,380
Serikali haina dini ila watu wake wana dini! Tanzania haina dini ila watu wake wana dini! Watu walishatahadharisha mapema tu hapa! Haya mambo ya misalaba kwenye jezi ya taifa sinunui hata Kama Mimi ni mkristo! This is not fair and this is our country
======
UPDATE:
=======
KANUSHO
Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania, limekana kuhusika na jezi zenye msalaba zinazosambaa mitandaoni. Wametoa onyo kwa watu wote wanaonihusisha na utengenezaji wa jezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
======
UPDATE:
=======
KANUSHO
Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania, limekana kuhusika na jezi zenye msalaba zinazosambaa mitandaoni. Wametoa onyo kwa watu wote wanaonihusisha na utengenezaji wa jezi.
Sent using Jamii Forums mobile app