haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 837
- 1,550
si zungumzii dini ila alama ya kujumlisha hua inagawa semu mbili za kufanana na sio kma msalaba kuwa sehemu ya chuni kua kubwaYaani watu ni kujihisia tu.Nani aliwaambia huo ni msalaba?What if ni alama ya kujumlisha tu.Mbona mkiwa mnafanya hesabu za kujumlisha hamkuwahi kulalamika kuwa ni msalaba?