Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari?, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari

Nasikia hii ndio iliyorekodi sauti ya NAPE NAUYE na wenzake

Ikiwa karibu yako hata kunong'ona usijaribu...labda iwe umbali wa Mita 100 au zaidi.
 
Kha! jamani. kisa nimemsifia Pascal? Sema tu hata wewe kimoyo moyo unamkubali huyu mkuu, yuko vizuri kichwani. Pia hata ukifuatilia thread zake, nyingi ziko njema halafu anayoongelea hasa ya kisiasa anakuwa kama vile ame predict
Nakubaliana nawewe.

Pia hakasiriki hovyo, hana bifu za kishamba.
 
Hii no gari ya usalama wa viongozi ambayo kazi yake kubwa ni kuzuia mawasiliano yaani inafanya cm zina jam unajua kina mabomu ya jufyatuliwa kwa cm sasa hii gari ukiwa maeneo ilipo cm zinajam hazifanyi kazi na hata kupiga haziendi mtandao unakuwa busy
Mbona majibu mengi...! Lipi sahihi
 
The Tanzania Communications Regulatory Authority, established by the TCRA Act No. 12 of 2003, is an independent Authority for the postal, broadcasting and electronic communications industries in the United Republic of Tanzania.
 
Hii ni definition ya wikipedia ina kasoro definition sahihi ya TCRA ni hii ifuatavyo zingatia neno 'quasi'.....

The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is a quasi independent Government body responsible for regulating the Communications and Broadcasting sectors in Tanzania. It was established under the Tanzania Communications Regulatory Act No.12 of 2003 to regulate the electronic communications, and Postal services, and management of the national frequency spectrum in the United Republic of Tanzania.
The Tanzania Communications Regulatory Authority, established by the TCRA Act No. 12 of 2003, is an independent Authority for the postal, broadcasting and electronic communications industries in the United Republic of Tanzania.
 
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.


Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.

Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
Gari sikuizi zinatengenezewa kofia
 
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.


Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.

Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
wakati,jf inaanza anza miaka ya mwanzoni, humu walijaa intellectuals, watu wenye upeo wanaojitambua, hivyo swali lolote lililokushinda majibu ulikua na uhakika wa kupata msaada jf. Ila tangu hiki kizazi cha 90 na 2000 kianze kushika smartphone, ni upupu tu unaochangiwa humu.

Inabidi mamods wawepo pia na wa comments, kama haihusiani na mada ama ni upupu wanatoa.

Inasikitisha sana

Binafsi sifahamu nilitegemea kupata majibu kwenyr comments, mwisho nakutana na upuuzi mara mabaharia mara sijui nini!inakera yani
 
KWA kifupi kabisa na kwa Lugha rahisi, hicho kifaa kinaitwa RADAR.
Hii ni miongoni mwa radar ya aina yake, Mara nyingi hutumika na maagent wa Serikali ktk shughuli za ulinzi NA Usalama, e.g, law enforcement agents, polices, secret security agents, digital communications regulatory authorities, military personnels, etc.

Radar kama hizi Mara nyingi zaidi hutumika ktk shughuli za UDUKUZI au UJASUSI, hususani kuhusiana na mawasiliano ya KIMTANDAO, huwa vinakuwa ktk form ya "StingRay devices". Mara nyingi ktk nchi mbalimbali duniani haviruhusiwi kumilikiwa NA watu binafsi, isipokuwa state agents only.


Kazi zake ni (baadhi tu, kutegemeana NA radar yenyewe):-
1.Phone Tracking
2.Phone Tracing
3.Radio locating, waves transmission, multiplexer functions, etc.
4.Surveillance activities, e.g. audio and video surveillance covert operations, bugging, etc.
5. AOB
NB: Nowadays there are some more devices that are much smaller, portable and mobile which perform the similar functions, most of them are disgused in the form of mobile phones/handsets, they are many in our streets now.Take care!!
Umeeleza kitu sensitive broo
 
Hiko kifaa kinaitwa enzymes kazi yake ni kuspeed up chemical reaction.😎
 
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.


Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.

Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
Hizo gari zenye huo mtambo zinatumiwa na watu wa TCRA
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom