Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari?, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari

Hiyo ni Satellite dish, ndiyo maana mnaambiwa ni ya waandishi wa habari hiyo gari ni TBC.
 
Asante sana mkuu hili darasa tosha
Kila mtumiaji wa masafa kwa mfano waongoza ndege,radio call za polisi au taasisi mbalimbali,Radio za FM,MUX kama vile Star Times,Telecoms kv VODA TIGO nk wote hawa hupatiwa leseni na kugawiwa hayo masafa na TCRA...Masafa ni kama kitalu cha mboga ambapo watu hugawana kwa hiyo mwenye wajibu wa kugawa ni TCRA...hivyo yeye kama TCRA anafahamu kila safa na ana uwezo wa kungámua nani ni mwizi wa masafa kwa kutumia hilo dude...lenyewe likipita pahala lina scan na kubaini masafa yaliyopo...ndio maana unasikia kuna watu wamepandishwa kizimbani kwa kuingiza nchini vifaa vya masafa visivyotakiwa wananaswa na TCRA...hivyo hilo dude linaleta ndani mrejesho. Pia linaweza kubaini ubora wa huduma za mawasiliano.

Wao watajua tu kwamba hii haijasajiliwa kwa sababu wao ndio watoa leseni kwa mujibu wa sheria za EPOCA. zisome hapa https://www.researchictafrica.net/c...c_and_Postal_Communications_Act_no_3_2010.pdf
 
Sorry mkuu usinichoke, kwa hiyo kupitia hilo gari, wakijua mtumiaj haramu wanazima Yale mawasiliano yake au wana mkamata kwanza kama ushahidi wa kizimban?
Kila mtumiaji wa masafa kwa mfano waongoza ndege,radio call za polisi au taasisi mbalimbali,Radio za FM,MUX kama vile Star Times,Telecoms kv VODA TIGO nk wote hawa hupatiwa leseni na kugawiwa hayo masafa na TCRA...Masafa ni kama kitalu cha mboga ambapo watu hugawana kwa hiyo mwenye wajibu wa kugawa ni TCRA...hivyo yeye kama TCRA anafahamu kila safa na ana uwezo wa kungámua nani ni mwizi wa masafa kwa kutumia hilo dude...lenyewe likipita pahala lina scan na kubaini masafa yaliyopo...ndio maana unasikia kuna watu wamepandishwa kizimbani kwa kuingiza nchini vifaa vya masafa visivyotakiwa wananaswa na TCRA...hivyo hilo dude linaleta ndani mrejesho. Pia linaweza kubaini ubora wa huduma za mawasiliano.

Wao watajua tu kwamba hii haijasajiliwa kwa sababu wao ndio watoa leseni kwa mujibu wa sheria za EPOCA. zisome hapa https://www.researchictafrica.net/c...c_and_Postal_Communications_Act_no_3_2010.pdf
 
Kusema ukweli kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu, huwa nakuamini sana hapa JF ila wee hujui. Una uelewa mpana, una mambo mengi karibia kila nyanja. Nakuona hadi kwenye mambo ya Law umoooo, karibia majukwaa yote umo, isipokuwa jukwaa la mapishi na MMu ndio sijaona ufundi wako

Paschal kaoa
 
Huo ni mwamvuli wa gari, mvua ikiwa inanyesha wanautumia kufunika gari isiloane tena hiyo ni teknolojia inaitwa mpitimbi shamba la nyege ilivumbuliwa kariakoo
 
TCRA motor van it help on traffic communication or when there is less pressure to connect but even tracking you close.

nimejaribu 😂.
 
Sheria iko wazi kitendo cha kutumia au kuingilia mawasiliano ni jinai...na wao TCRA kwa kushirikiana na vyombo vya dola wanakuweka ndani kama utakutwa ukitumia masafa bila wao kukupatia/gawia...zingatia pia kwamba hayo masafa hugawiwa kimataifa ndio maana hao TCRA wana uanachama kwa niaba ya Tanzania kwenye taasisi mbalimbali za kimataifa za mawasiliano kama vile ITU https://www.itu.int/en/Pages/default.aspx, EACO, CRASA nk...kwa hiyo masafa hutumii tu ilimradi...ni lazima TCRA wakupe.....ndio maana unasikia sehemu fulani masafa ya redio FM yamejaa kwa mfano hii ni kutokana na uwezo wa mitambo kama huo ambayo inajua sasa hapa huwezi kuongeza njia nyingine ya safa laa sivyo utasababisha matatizo ikiwemo interference nk
Sorry mkuu usinichoke, kwa hiyo kupitia hilo gari, wakijua mtumiaj haramu wanazima Yale mawasiliano yake au wana mkamata kwanza kama ushahidi wa kizimban?
Wakikudaka wanazima na ku cease mitambo yako...juzi nilikuwa boko kuna jamaa walimdaka alikuwa na karedio pori
 
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.


Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.

Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
Sijawahi kujjua ni kitu gan
 
Ni kweli huyu jamaa anajua mambo ila siku hizi amekuwa too biase, wakati mwingine anashindwa kudhibiti mizani yake jambo ambalo pia laweza kumshusha kwa Ma-great Thinkers (GT) lakini kujua anajua mambo mengi
 
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.


Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.

Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
Vehicle mounted satellite antenna. Ni kwa ajili ya kurushia matangazo/ mawasiliano kwa njia ya satellite. Inaweza kuwa simu, TV au radio.
 
Hii no gari ya usalama wa viongozi ambayo kazi yake kubwa ni kuzuia mawasiliano yaani inafanya cm zina jam unajua kina mabomu ya jufyatuliwa kwa cm sasa hii gari ukiwa maeneo ilipo cm zinajam hazifanyi kazi na hata kupiga haziendi mtandao unakuwa busy
 
Asante sana mkuu nimekuelewa vakutosha
Sheria iko wazi kitendo cha kutumia au kuingilia mawasiliano ni jinai...na wao TCRA kwa kushirikiana na vyombo vya dola wanakuweka ndani kama utakutwa ukitumia masafa bila wao kukupatia/gawia...zingatia pia kwamba hayo masafa hugawiwa kimataifa ndio maana hao TCRA wana uanachama kwa niaba ya Tanzania kwenye taasisi mbalimbali za kimataifa za mawasiliano kama vile ITU https://www.itu.int/en/Pages/default.aspx, EACO, CRASA nk...kwa hiyo masafa hutumii tu ilimradi...ni lazima TCRA wakupe.....ndio maana unasikia sehemu fulani masafa ya redio FM yamejaa kwa mfano hii ni kutokana na uwezo wa mitambo kama huo ambayo inajua sasa hapa huwezi kuongeza njia nyingine ya safa laa sivyo utasababisha matatizo ikiwemo interference nk
Wakikudaka wanazima na ku cease mitambo yako...juzi nilikuwa boko kuna jamaa walimdaka alikuwa na karedio pori
 
Pascal Mayalla mie huwa namuona ndie member wa JF pekee mwenye akili nyingi na ana uwezo wa kutambua pia anajua mambo mengi sana ya duniani. Sijaona mwingine hata!!!
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Pasikali mbona mwepesi tu we subiri wiki ijayo anaenda kuomba msamaha kwa niaba ya walima korosho
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom