Umefanya vizuri kuuliza. Hilo dungu hapo juu ni Antenna kwa ajili ya kufuatilia masafa( Spectrum monitoring)...kazi yake ni kukagua muingiliano wa masafa ya simu,mawimbi ya utangazaji,radio call nakadhalika….hilo pia hukagua mawimbi haramu ambayo watu wanajipatia...elewa kwamba masafa ili uyatumie lazima TCRA wakupatie kwa hiyo hilo dungu linakagua kubaini wezi wa masafa na hata wezi wa simu wanaweza kupatikana kwa hilohilo dude...Linaitwa mobile Spectrum monitoring antenna. Je una swali la ziada?
Kakudanganya huyo hilo dude ni la TCRA sio Mamlaka ya Hali ya Hewa….rejea majibu yangu hapo au ya Pasco hapoThanks mkuu
Kila mtumiaji wa masafa kwa mfano waongoza ndege,radio call za polisi au taasisi mbalimbali,Radio za FM,MUX kama vile Star Times,Telecoms kv VODA TIGO nk wote hawa hupatiwa leseni na kugawiwa hayo masafa na TCRA...Masafa ni kama kitalu cha mboga ambapo watu hugawana kwa hiyo mwenye wajibu wa kugawa ni TCRA...hivyo yeye kama TCRA anafahamu kila safa na ana uwezo wa kungámua nani ni mwizi wa masafa kwa kutumia hilo dude...lenyewe likipita pahala lina scan na kubaini masafa yaliyopo...ndio maana unasikia kuna watu wamepandishwa kizimbani kwa kuingiza nchini vifaa vya masafa visivyotakiwa wananaswa na TCRA...hivyo hilo dude linaleta ndani mrejesho. Pia linaweza kubaini ubora wa huduma za mawasiliano.Na wanajuaje kuwa hii radio imesajiliwa au bado maana kwa tz nzima sio mchezo? Asante sana mkuu, kwa hiyo yapo kila sehemu au?
Mi naona wewe unalipenda
Mm nalichukia kupita kiasi yani wabongo wakishikilia neno wanakua kama nyumbu
Akitokea mwingine akasema ni gari la kurushia matangazo, utatumia kigezo gani ku-demerit maoni yake na ku-merit ya kwako? Tumejibu hiyo picha objectively, bila kuwa subjected na prior assumptions ulizokuwa nazo, au unless wewe unalijua hilo gari personally.Hapana aisee hao sio TMA
Watoto ndiyo wanajiita mabaharia. Mtu mzima kujiita majina kama hayo ni ulimbukeni tuNawavumilia namshukuru Mungu pia mwanaume wangu hajiiti baharia😓
Mi naona wewe unalipenda
Mm nalichukia kupita kiasi yani wabongo wakishikilia neno wanakua kama nyumbu
She can...mabadiriko huanza na mmojaWavumilie tu maana you can not change the world Madam
Sio kamaUkitaka ugomvi na mimi niite hilo jina. Yani hata kama tulikuwa tunaheshimiana nitakuona mtu wa hovyo.
Ni mtu wa hovyo mnoUkitaka ugomvi na mimi niite hilo jina. Yani hata kama tulikuwa tunaheshimiana nitakuona mtu wa hovyo.
Ulimbukeni mkubwa sanaWatoto ndiyo wanajiita mabaharia. Mtu mzima kujiita majina kama hayo ni ulimbukeni tu
Ni mtu wa hovyo mno
Mimi hata kaka angu mmoja nmemshusha hadhi
Akitokea mwingine akasema ni gari la kurushia matangazo, utatumia kigezo gani ku-demerit maoni yake na ku-merit ya kwako? Tumejibu hiyo picha objectively, bila kuwa subjected na prior assumptions ulizokuwa nazo, au unless wewe unalijua hilo gari personally.
Una uhakika?She can...mabadiriko huanza na mmoja
Vipo vingi tu ila vinapotrend vinakera sanaYatapita tu...kipimo cha maturity hiko..iko wapi ile application ya kupredict sura ya uzeeni...