Nawavumilia namshukuru Mungu pia mwanaume wangu hajiiti baharia😓Wavumilie tu maana you can not change the world Madam
Yaani acha kabisaMi naona wewe unalipenda
Mm nalichukia kupita kiasi yani wabongo wakishikilia neno wanakua kama nyumbu
AbsolutelyHybrid Convoy and EOD, Briefcase and Mobile Phone Jammers
Thread Closed!KWA kifupi kabisa na kwa Lugha rahisi, hivyo kifaa kinaitwa RADAR.
Hii ni miongoni mwa radar ya aina yake, Mara nyingi hutumika na maagent wa Serikali ktk shughuli za ulinzi NA Usalama, e.g, law enforcement agents, polices, secret security agents, digital communications regulatory authorities, military personnels, etc.
Radar kama hizi Mara nyingi zaidi hutumika ktk shughuli za UDUKUZI au UJASUSI, hususani kuhusiana na mawasiliano ya KIMTANDAO, huwa vinakuwa ktk form ya "StingRay devices". Mara nyingi ktk nchi mbalimbali duniani haviruhusiwi kumilikiwa NA watu binafsi, isipokuwa state agents only.
Kazi zake ni (baadhi tu, kutegemeana NA radar yenyewe):-
1.Phone Tracking
2.Phone Tracing
3.Radio locating
4.Surveillance activities, e.g. audio and video surveillance covert operations, bugging, etc.
5. AOB
NB: Nowadays there are some more devices that are much smaller, portable and mobile which perform the similar functions, most of them are disgused in the form of mobile phones/handsets, they are many in our streets now.Take care!!
Yaani acha kabisa
Mtambo wa mawasiliano huoHiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.
Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.
Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
RadarMtambo wa mawasiliano huo
Na jukwaa la kubet kule wazee wa mizigo kule tupo zaidi ya wajanjaKusema ukweli kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu, huwa nakuamini sana hapa JF ila wee hujui. Una uelewa mpana, una mambo mengi karibia kila nyanja. Nakuona hadi kwenye mambo ya Law umoooo, karibia majukwaa yote umo, isipokuwa jukwaa la mapishi na MMu ndio sijaona ufundi wako
law kasoma miaka 18 pale mlimaniKusema ukweli kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu, huwa nakuamini sana hapa JF ila wee hujui. Una uelewa mpana, una mambo mengi karibia kila nyanja. Nakuona hadi kwenye mambo ya Law umoooo, karibia majukwaa yote umo, isipokuwa jukwaa la mapishi na MMu ndio sijaona ufundi wako
Hana lolote huyo paskoKha! jamani. kisa nimemsifia Pascal? Sema tu hata wewe kimoyo moyo unamkubali huyu mkuu, yuko vizuri kichwani. Pia hata ukifuatilia thread zake, nyingi ziko njema halafu anayoongelea hasa ya kisiasa anakuwa kama vile ame predict
Sawa bibiHybrid Convoy and EOD, Briefcase and Mobile Phone Jammers
Umeshawahi kuona kipindi cha 'Tornado hunters'? Hao ni wana hali ya hewa, yaani 'meteorologists'.
View attachment 1204402
Naunga mkono hoja.Pascal Mayalla mie huwa namuona ndie member wa JF pekee mwenye akili nyingi na ana uwezo wa kutambua pia anajua mambo mengi sana ya duniani. Sijaona mwingine hata!!!
Yaani ni zero tuHana lolote huyo pasko
Chakula ya ma captain wa meliHilo neno ubaharia Lina nipa kichefuchefu sanaaa
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.
Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.
Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
Umeshawahi kuona kipindi cha 'Tornado hunters'? Hao ni wana hali ya hewa, yaani 'meteorologists'.
View attachment 1204402