Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 7,416
- 12,052
Kule Simiyu kwenye Nane Nane Pascal Mayalla alielezewa vyema na wahusika wa hilo gari labda atakujibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF ya leo. hakuna mwenye akili JF nzima kama Pascal MayallaWe unazingumzia JF ya zamani kabla Pasco hajaitwa NJAA
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.
Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.
Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
Kwanza asante Mkuu Nakwede kunistua.Pascal Mayalla
Mbona unamuhusisha Pasikali, unauhakika ni mzigo wake!Pascal Mayalla mie huwa namuona ndie member wa JF pekee mwenye akili nyingi na ana uwezo wa kutambua pia anajua mambo mengi sana ya duniani. Sijaona mwingine hata!!!
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️We unazingumzia JF ya zamani kabla Pasco hajaitwa NJAA
Mbona unamuhusisha Pasikali, unauhakika ni mzigo wake!Kule Simiyu kwenye Nane Nane Pascal Mayalla alielezewa vyema na wahusika wa hilo gari labda atakujibu.
Kwanza asante Mkuu Nakwede kunistua.
Hiyo ni gari ya TCRA na hapo juu ni mtambo wa ukaguzi wa masafa,
Unaweza kuushuhudia hapa
P.
Mkuu unatumia vigezo vipi au ndo ID yako nyingine mpya baada ya mods kuunganisha ile ya pasco?!?JF ya leo. hakuna mwenye akili JF nzima kama Pascal Mayalla
Litapita tu, kama umama ilivyopita na mengine yote.Hilo neno ubaharia Lina nipa kichefuchefu sanaaa
Kha! jamani. kisa nimemsifia Pascal? Sema tu hata wewe kimoyo moyo unamkubali huyu mkuu, yuko vizuri kichwani. Pia hata ukifuatilia thread zake, nyingi ziko njema halafu anayoongelea hasa ya kisiasa anakuwa kama vile ame predictMkuu unatumia vigezo vipi au ndo ID yako nyingine mpya baada ya mods kuunganisha ile ya pasco?!?
Yallah mbavu zanguKama hujui si ukae kimya
Mmetuchosha na ubaharia wenu
asanteKusema ukweli kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu, huwa nakuamini sana hapa JF ila wee hujui. Una uelewa mpana, una mambo mengi karibia kila nyanja. Nakuona karibia majukwaa yote umo, isipokuwa jukwaa la MMu ndio sijaona ufundi wako
Wabeja kulumba nkoiasante
P
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.
Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.
Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
Anhaaa!! Pascal mayalla Kumbe una ka I'd kengine ka kujipigia pande eeeeehKusema ukweli kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu, huwa nakuamini sana hapa JF ila wee hujui. Una uelewa mpana, una mambo mengi karibia kila nyanja. Nakuona hadi kwenye mambo ya Law umoooo, karibia majukwaa yote umo, isipokuwa jukwaa la mapishi na MMu ndio sijaona ufundi wako
Kabisa hawa jamaa wana boreKama hujui si ukae kimya
Mmetuchosha na ubaharia wenu
Acheni kumchafua kaka wa watu bwana!Anhaaa!! Pascal mayalla Kumbe una ka I'd kengine ka kujipigia pande eeeeeh