Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari?, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari

evonik

JF-Expert Member
Jun 12, 2015
3,998
5,130
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.


Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.

Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuu
IMG_20190911_132313_3.jpeg
IMG_20190911_132306_7.jpeg
 
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.


Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.

Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
Ni kwa ajili ya kikao cha MABAHARIA kesho maeneo ya Kivukoni.
Unakaribishwa
 
Hiki ni nini kwenye hii picha ya gari, nimejaribu kuulizia kwa wadau wengine wananiambia ni waandishi wa habari ndipo akili ikagoma kukubali kuwa ni kwel, kwa sababu hakuna nembo inayoonesha hivyo, licha ya sababu hiyo lkn akili inagoma tu.
Ndipo nikaamua kuleta humu jukwaan kwa wafikiriaji wakubwa, ili nipate kujua hii ninni au gari la nini, Mara nyingi yanapiga Masafa marefu.
Nina imani tajibiwa safi, karibuni wakuuView attachment 1204370View attachment 1204371
Ooh mungu wangu!! Bahati yako siku nyingine ukiliona kimbia sana tena ufumbe macho.
Wasiliana na TCRA.
 
Back
Top Bottom