Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Ndugu zanguni,
Sote tunajua kuwa Mh Rais atatangaza baraza jipya la mawaziri anytime kuanzia sasa. Pamoja na majina mengi kutajwa kuwa wangefaa kuingia kwenye baraza jipya ni Deo Filikunjombe, Migiro, Kangi lugora na EL
Lakini katika majina yote, jina la Lowassa ndio limetajwa sana kuliko yote.
Sababu kubwa ya wengi kumtaja Lowassa ni wengi kuwa na imani na utendaji wake utendaji wake na command aliyobarikiwa kuwa nayo na ninaamini huyu hata ukimpa Tamisemi lazima utaona mabadiliko makubwa.
Tunahitaji majembe yaongezeke baraza la mawaziri kuwasaidia akina Mwakyembe na Magufuri kuweka nidhamu serikalini
Umoja ni ushindi
Sote tunajua kuwa Mh Rais atatangaza baraza jipya la mawaziri anytime kuanzia sasa. Pamoja na majina mengi kutajwa kuwa wangefaa kuingia kwenye baraza jipya ni Deo Filikunjombe, Migiro, Kangi lugora na EL
Lakini katika majina yote, jina la Lowassa ndio limetajwa sana kuliko yote.
Sababu kubwa ya wengi kumtaja Lowassa ni wengi kuwa na imani na utendaji wake utendaji wake na command aliyobarikiwa kuwa nayo na ninaamini huyu hata ukimpa Tamisemi lazima utaona mabadiliko makubwa.
Tunahitaji majembe yaongezeke baraza la mawaziri kuwasaidia akina Mwakyembe na Magufuri kuweka nidhamu serikalini
Umoja ni ushindi