Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
arifu huyu shoree hamnazo kabisa....aisee...dogo nilimuona mshamba kutopokea pesa...lakini kumbe anamjuua huyu gume gume wake wa zamani kwamba anaharibu mahali popote....Wema si mzima kabisa kichwani!