Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
umaarufu kazi
hawa watoto wote wamenichosha hawana adabu..huyu anasema hili ,mwingine anasema vile ... ukiangalia kwa umakini wote wana matatizo...
Mna kazi!!!
Enzi zetu miaka ya 80s mdada kama wema tulikuwa tunamuita "Fox" au "Jamvi la wageni"
Moja kati ya Makosa tuliyowahi kufanya watanzania ni pamoja na kumchagua Wema kuwa Miss Tanzania.:crying:
Enzi zetu miaka ya 80s mdada kama wema tulikuwa tunamuita "Fox" au "Jamvi la wageni"