Hiki ndicho nilichokifanya baada ya kukosa kazi kwa wiki mbili

Ushimen

JF-Expert Member
Oct 24, 2012
37,203
85,311
Nilikuwa nimekaa kibaruwani, na kwakuwa miezi hiyo haikua na michongo ya kazi za nje/mikoani....
Nilijikuta napata wazo la kufanya kitu, kisha nika chukuwa kalamu na karatasi na nikaweka mchoro wa kile nilichukuwa nakiona kwenye taswira. Basi mzee nikatekenya chuma huyooo nikaenda kwa shop ya jamaa anauza rejected metals.
Basi nikakusanya vipande vya chuma pamoja na vipande vya mbao, kadri nilivyo ona zitanitosha kwenye mahitaji yangu.

Day one and two, niliifanya kazi hadi ikafikia kuwa na muonekano wa chuma kisicho eleweka na nikakipaka rangi ya kuzuwia kutu.
Day three and four, nilimalizia kwa kukipaka rangi ambayo nili ikusudia uwe muonekano kwa kitanda cha mtoto. Kisha nikamalizia kwa kukata mbao kwa vipimo maalum kwaajili ya chaga na ngazi kwaajili ya mtoto kupanda wakati wa kuenda kulala.
Baada ya kukamilisha hayo, nilikipeleka nyumbani na kisha kijana akajaribisha kupanda ngazi kwa uangalifu na uoga, na akiwa ameshikilia handrails nilizo zitengeneza kwa kusudio la kumkinga asiweze kuanguka wakati wa kupanda ngazi. Baada ya hapo nilienda kununua godoro dogo kwa kipimo ambacho nilikuwa nimetengenezea kitanda hicho, na kisha nikaenda kwa fundi wa kushona seats covers na akaniundia cover iliyo tosha godoro la kitanda.
Leo nimekiweka kitanda cha kijana uoande wa miguuni pa kitanda changu, na dogo analala kwa raha burdan na akifurahia kazi ya mikono ya baba yake.

IMG-20191103-WA0000.jpeg
IMG_20190604_160628.jpeg
IMG_20190629_121408.jpeg
IMG_20190707_102126.jpeg

IMG_20191102_103151.jpeg
IMG_20191103_124648.jpeg
 

Attachments

  • IMG-20191103-WA0000.jpeg
    IMG-20191103-WA0000.jpeg
    25.4 KB · Views: 2
  • IMG_20190604_160628.jpeg
    IMG_20190604_160628.jpeg
    62.6 KB · Views: 2
Kaka wewe ni fursa ujue
Nilikuwa nimekaa kibaruwani, na kwakuwa miezi hiyo haikua na michongo ya kazi za nje/mikoani....
Nilijikuta napata wazo la kufanya kitu, kisha nika chukuwa kalamu na karatasi na nikaweka mchoro wa kile nilichukuwa nakiona kwenye taswira. Basi mzee nikatekenya chuma huyooo nikaenda kwa shop ya jamaa anauza rejected metals.
Basi nikakusanya vipande vya chuma pamoja na vipande vya mbao, kadri nilivyo ona zitanitosha kwenye mahitaji yangu.

Day one and two, niliifanya kazi hadi ikafikia kuwa na muonekano wa chuma kisicho eleweka na nikakipaka rangi ya kuzuwia kutu.
Day three and four, nilimalizia kwa kukipaka rangi ambayo nili ikusudia uwe muonekano kwa kitanda cha mtoto. Kisha nikamalizia kwa kukata mbao kwa vipimo maalum kwaajili ya chaga na ngazi kwaajili ya mtoto kupanda wakati wa kuenda kulala.
Baada ya kukamilisha hayo, nilikipeleka nyumbani na kisha kijana akajaribisha kupanda ngazi kwa uangalifu na uoga, na akiwa ameshikilia handrails nilizo zitengeneza kwa kusudio la kumkinga asiweze kuanguka wakati wa kupanda ngazi. Baada ya hapo nilienda kununua godoro dogo kwa kipimo ambacho nilikuwa nimetengenezea kitanda hicho, na kisha nikaenda kwa fundi wa kushona seats covers na akaniundia cover iliyo tosha godoro la kitanda.
Leo nimekiweka kitanda cha kijana uoande wa miguuni pa kitanda changu, na dogo analala kwa raha burdan na akifurahia kazi ya mikono ya baba yake.

View attachment 1252817View attachment 1252818View attachment 1252823View attachment 1252824View attachment 1252826View attachment 1252827
 
Back
Top Bottom