blackbandana
Member
- Aug 30, 2014
- 39
- 51
Hawa jamaa sijui habar zao hua wanatoa source wap yani huchambua habar za michezo kishabiki badala ya ukwel....
Mfano leo nimejikuta nackiliza kipind cha hili game, shafi dauda anasema game za mwisho za EPL game ambayo itakua ngumu ni brighton vs man city kwa sababu kila timu inahitaji ushindi kwamba man city anahitaj ushind ili achukue ubingwa na brighton anahitaj ushind ili abak ligi kuu akat kiuhalisia brighton ashabak ligi kuu, timu zinazoshuka daraja ni 3 na zishashuka tayar kwa hiyo brighton hana cha kupoteza.
Niwashaur tu clouds watangazaji wake wawe wanachambua mpira kuhalisia ili wasiwalishe matango pori watu wanaotegemea redio kupata taarifa
Mfano leo nimejikuta nackiliza kipind cha hili game, shafi dauda anasema game za mwisho za EPL game ambayo itakua ngumu ni brighton vs man city kwa sababu kila timu inahitaji ushindi kwamba man city anahitaj ushind ili achukue ubingwa na brighton anahitaj ushind ili abak ligi kuu akat kiuhalisia brighton ashabak ligi kuu, timu zinazoshuka daraja ni 3 na zishashuka tayar kwa hiyo brighton hana cha kupoteza.
Niwashaur tu clouds watangazaji wake wawe wanachambua mpira kuhalisia ili wasiwalishe matango pori watu wanaotegemea redio kupata taarifa