Hiki kitendo cha kujikusanya sehemu moja kikosi maalum KDF leo huko Nairobi, si wangeweza kuuawa wote kwa mkupuo?

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,399
1547580497646.png


Leo mchana mjini Nairobi kumetokea mlipuko wa bomu karibu na hoteli ya kitalii katika eneo la WestLands.

Eneo khasa lilipotokea mlipuko huo ni lile la naba 14 Riverside ambako ipo hoteli ya Dusit D2 ambapo watu kadhaa wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Napenda kutoa salamu za rambirambi kwa wote walofariki kutokana na ajali hiyo na kuwaombea kupona haraka kwa wahanga wote wa tukio hilo.

Taarifa zilizopo hadi sasa ni kwamba bomu au mabomu (IED) yalilipuka kutoka ndani ya gari lililokuwa limepaki nje jengo hilo la Riverside karibu kabisa na hoteli hiyo ya Duset D2.

Vikosi vya usalama askari kanzu na vikosi maalum kutoka KDF walifika eneo la tukio kukabiliana na hali hiyo huku kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab kikitoa taarifa ya kuhusika na bomu hilo.

Katika mambo ambayo yamenifanya niulize masuali kadhaa ya kiudadisi ni jinsi askari wa vikosi maalum vya KDF ambao walifika kwenye eno la tukio na kwa muda mrefu kukaa sehemu moja wakisubiri hatua ya kuingia ndani ya jingo hilo kukabiliana na magaidi wenye silaha au hata mabomu.

Je endapo sehemu walofikia hawa askari maalum wa KDF pangekuwa napo pamewekwa bomu jingine je, askari hao si wangepotea Maisha?

Suali la pili, je wenzetu wao wana umbali gani rasmi wa kujiokoa yaani "bomb evacuation assembly point" kutoka eneo la tukio maana sehemu nyingi ni mita kuanzia 400 na kuendelea?

Angalizo:

Nimeuliza tu suali naomba radhi kama nitawakzwaza ndugu zetu na majirani zetu wakenya.
 
Kitu pekee nachoogopa next time hao magaidi watabakisha wengine nje kwasababu kuna udhaifu mkubwa huku nje kuliko ndani. Hamna kitu kibaya kama vitengo tofauti vikiwa na silaha sehemu moja na raia halafu uanzishe taharuki kwa mabumo na risasi.
Hata hivyo nawapongeza kwa kudhibiti habari zinatoka nje wamejitahidi sana toka jeshi lao hadi waandishi wao ambao ni vimbelembele.
 
View attachment 995706

Leo mchana mjini Nairobi kumetokea mlipuko wa bomu karibu na hoteli ya kitalii katika eneo la WestLands.

Eneo khasa lilipotokea mlipuko huo ni lile la naba 14 Riverside ambako ipo hoteli ya Dusit D2 ambapo watu kadhaa wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Napenda kutoa salamu za rambirambi kwa wote walofariki kutokana na ajali hiyo na kuwaombea kupona haraka kwa wahanga wote wa tukio hilo.

Taarifa zilizopo hadi sasa ni kwamba bomu au mabomu (IED) yalilipuka kutoka ndani ya gari lililokuwa limepaki nje jengo hilo la Riverside karibu kabisa na hoteli hiyo ya Duset D2.

Vikosi vya usalama askari kanzu na vikosi maalum kutoka KDF walifika eneo la tukio kukabiliana na hali hiyo huku kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab kikitoa taarifa ya kuhusika na bomu hilo.

Katika mambo ambayo yamenifanya niulize masuali kadhaa ya kiudadisi ni jinsi askari wa vikosi maalum vya KDF ambao walifika kwenye eno la tukio na kwa muda mrefu kukaa sehemu moja wakisubiri hatua ya kuingia ndani ya jingo hilo kukabiliana na magaidi wenye silaha au hata mabomu.

Je endapo sehemu walofikia hawa askari maalum wa KDF pangekuwa napo pamewekwa bomu jingine je, askari hao si wangepotea Maisha?

Suali la pili, je wenzetu wao wana umbali gani rasmi wa kujiokoa yaani "bomb evacuation assembly point" kutoka eneo la tukio maana sehemu nyingi ni mita kuanzia 400 na kuendelea?

Angalizo:

Nimeuliza tu suali naomba radhi kama nitawakzwaza ndugu zetu na majirani zetu wakenya.

Hawa KDF nawaona wamezingatia zaidi usalama wa uelekeo mmoja sasa sifahamu pande zingine maadui wangekuwako nini kingetokea?
kwani nani aliyewaaminisha kuwa upande huo tu ndiko kuna maadu?
 
Kwanza kila kikosi kilikuwa na kifaa maalumu vya kusense mabomu na mtu maalumu Yule mwenye mavazi ya kujitanda kusense mabomu. Pili walipata CCTV picha mapema Jinsi magaidi walivyofika hadi kuingia ndani..so nje walijihakikishia Usalama na mwisho mashuhuda walielezea Jinsi wale magaidi walivyotua kulipua Magari nje na kuingia ndani. Kwa mazingira Hayo ilikuwa ni rahisi Kwao kunotise mabomu mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu pekee nachoogopa next time hao magaidi watabakisha wengine nje kwasababu kuna udhaifu mkubwa huku nje kuliko ndani. Hamna kitu kibaya kama vitengo tofauti vikiwa na silaha sehemu moja na raia halafu uanzishe taharuki kwa mabumo na risasi.
Hata hivyo nawapongeza kwa kudhibiti habari zinatoka nje wamejitahidi sana toka jeshi lao hadi waandishi wao ambao ni vimbelembele.
Mkuu nimefikiria hivo hivo kuhusu point yako ya kwanza. Akijichanganya gaidi mmoja kwenye kundi la wale askari wanaovaa kiraia nje walipojikusanya watu maafa yanaweza kua makubwa zaidi. Eh Mungu epushia mbali, maana ule mkusanyiko wa watu nilioona kwa tv unaonyesha udhaifu mkubwa katika ku manage crisis!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 995706

Leo mchana mjini Nairobi kumetokea mlipuko wa bomu karibu na hoteli ya kitalii katika eneo la WestLands.

Eneo khasa lilipotokea mlipuko huo ni lile la naba 14 Riverside ambako ipo hoteli ya Dusit D2 ambapo watu kadhaa wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Napenda kutoa salamu za rambirambi kwa wote walofariki kutokana na ajali hiyo na kuwaombea kupona haraka kwa wahanga wote wa tukio hilo.

Taarifa zilizopo hadi sasa ni kwamba bomu au mabomu (IED) yalilipuka kutoka ndani ya gari lililokuwa limepaki nje jengo hilo la Riverside karibu kabisa na hoteli hiyo ya Duset D2.

Vikosi vya usalama askari kanzu na vikosi maalum kutoka KDF walifika eneo la tukio kukabiliana na hali hiyo huku kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab kikitoa taarifa ya kuhusika na bomu hilo.

Katika mambo ambayo yamenifanya niulize masuali kadhaa ya kiudadisi ni jinsi askari wa vikosi maalum vya KDF ambao walifika kwenye eno la tukio na kwa muda mrefu kukaa sehemu moja wakisubiri hatua ya kuingia ndani ya jingo hilo kukabiliana na magaidi wenye silaha au hata mabomu.

Je endapo sehemu walofikia hawa askari maalum wa KDF pangekuwa napo pamewekwa bomu jingine je, askari hao si wangepotea Maisha?

Suali la pili, je wenzetu wao wana umbali gani rasmi wa kujiokoa yaani "bomb evacuation assembly point" kutoka eneo la tukio maana sehemu nyingi ni mita kuanzia 400 na kuendelea?

Angalizo:

Nimeuliza tu suali naomba radhi kama nitawakzwaza ndugu zetu na majirani zetu wakenya.
we ujui wakenya kwa show off wataonyeshaje vifaa vyao walivyopata marekani kwa gia ya kupambana na ugaidi,anyway pole yao maana mashambulizi kama hayo inaonyesha ni jinsi gani inteligensia yao mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama viwanja vya ndege vina machine za kugundua vitu hatari ,Hivi hakuna jinsi ya kuweka kifaa maalumu ambacho kinaweza kugundua vitu hatari kwenye magali yakiwa yanapita au ya mesimama ?kazi kwenu Watalaam ni mewauzia kitu Anza kutafakari mtaanzia wapi na kuishia wapi ?vinginevyo magaidi watajinasibu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii ni mara ya pili wanaonyesha udhaifu wa kupambana na magaidi,wakati ule waliingia na kifaru kwenye mall kutoa magaidi...watani wetu kuweni serious...all in all poleni
nchi ya kitu kidogo. Si ajabu wameingia na kuanza kukusanya dola za wateja wa hiyo hotel. Askari wa kenya akili zao wanazijua wenyewe
 
Ila kufanya rescue katika mazingira kama haya sio kitu rahisi ndugu zangu,Sisi wenyewe tulishindwa ku rescue watu waliozama ziwani tukasema ni usiku,sembuse watu mwenye silaha aliyesimama na watu kibao kama shield,na huwezi jua kama walikuwa na mabomu wamevaa kiunoni.Uliza kilichowapata Russia 2004 kule Moscow,90% ya watu wengi walikufa kwenye rescue mission kuliko waliouawa na terrorists.Hivi vitu tuviache kama vilivyo wakuu.
Poleni sana wakenya.
 
Back
Top Bottom