JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,187
Kuna mdada kaniambia eti kibamia kinaongeza hatari ya fistula kwa mwenza wa kike. Je, ni kweli au kanipiga fix?
Mkuu nawe hujawahi isikia hiyo?Duuuh
hapana ndio naona leo hiiMkuu nawe hujawahi isikia hiyo?
Vipi kinyume chake, e.i. hogo badala ya kibamia?Jibu ni hapana
Umenisababisha nimecheka kwa sauti mida ya wangaWakikosa sababu za kukuacha sasa wanakuwa kama Comedian,si Angekuambia tu Hakutaki kwa sababu ya kibamia.
Anaisikia tu si bureMkuu unaijua fistula lakini??