Usinikumbushe kipigo kilichotokea usiku ule baada ya Mtu yule kusema ''Mtoto akiunyea Mkono usiukate'' Kipigo kile ndiyo ulikuwa Mwisho wa PUNCH!Wakati wa chuo alikuwepo "PUNCH" mzee wa incognito. Lugha kama zinafanana na hii
Jamaaa sijui yuko wapi alikua anachangamsha kijiweEnglish ya Kiranga hiyo
Weka mbali na watoto