Hiki hapa kifaa kipya cha Simba kutoka Zambia chatua nchini!

Nyie majani ya chai haya maneno yote yanayowatoka kwa timu ipi mliyonayo, timu yenye dhamani kubwa mnakutana timu isiyo na dhamani inakung'uta, unaenda nje wanawatoa Comoro tu, ukikutana timu nje ya Comoro nje, miaka minne mnakaa mnajivunia, muhindi amepoteza hela zake oh tunasajili wachezaji wenye uwezo wa kupambana kimataifa, ila hali inabaki ile ile miaka minne, walivyo na akili za pamba unamuondoa Plugin wanamchukua Lwandamina eti sababu dau lake dogo tu. Jiandae tucheze mpira wetu wa kibongo wa kujifurahisha hapahapa, kimataifa ni aibu, timu inashiriki miaka minne mfurulizo inaishia raundi ya pili, tena ya kwanza lazima mpangwe na timu ya Comoro ama Djibuti, alafu mmekaa mashabiki mnajivunia mafanikio.
 
Simba huleta wachezaji wa nje kisha anawatuma waandishi wa TV,magazeti,redio wamsifie kola uchao cku akianza kucheza zile sifa zote hupotea.Badilikeni
 
Mbona nawaona Makomandoo wa Yanga kwa nyuma
Mkuu si hata mimi nimeshangaa hapo?
Picha inaonesha viongozi wa Yanga ndo wanampokea tena kwenye stendi ya Basi.
Inaonekana kaja na basi. Na makomandoo wa yanga wanamlinda asije akawaponyoka.
Sasa kivipi mtoa mada asema ni mchezaji wa Simba mtarajiwa ?
Yanga hapo mmepata bonge la mshambuliaji.
Mbadala wa Ngoma.
 
Makao Makuu ya wapi ?
Hata Blagnon si mliambiwa eti Arsnenal wanamtaka alivyo mpiga mabao!! Ona mara ngapi alikuwa ndani ya 18 players. Usanii tuu mnaliwa lkn bado mnashangilia upuuzi !!
Watupe mrejesho wa FIFA hao mikia. Hatujasahau mjue.
 
Nyie majani ya chai haya maneno yote yanayowatoka kwa timu ipi mliyonayo, timu yenye dhamani kubwa mnakutana timu isiyo na dhamani inakung'uta, unaenda nje wanawatoa Comoro tu, ukikutana timu nje ya Comoro nje, miaka minne mnakaa mnajivunia, muhindi amepoteza hela zake oh tunasajili wachezaji wenye uwezo wa kupambana kimataifa, ila hali inabaki ile ile miaka minne, walivyo na akili za pamba unamuondoa Plugin wanamchukua Lwandamina eti sababu dau lake dogo tu. Jiandae tucheze mpira wetu wa kibongo wa kujifurahisha hapahapa, kimataifa ni aibu, timu inashiriki miaka minne mfurulizo inaishia raundi ya pili, tena ya kwanza lazima mpangwe na timu ya Comoro ama Djibuti, alafu mmekaa mashabiki mnajivunia mafanikio.
Uzuri mwaka huu mtashiriki kwenye kombe la shirikisho tutawaona huo ubora mnaojivunia kila Mara. Na muombe msipangwe na Fc Libolo shughuli yake mnaijua.
 
Makao Makuu ya wapi ?
Hata Blagnon si mliambiwa eti Arsnenal wanamtaka alivyo mpiga mabao!! Ona mara ngapi alikuwa ndani ya 18 players. Usanii tuu mnaliwa lkn bado mnashangilia upuuzi !!

Mkuu mimi nimeguna tu, lakini naona unanitolea povu si la nchi hii, kushangilia ujinga ni sehem ya maisha hata hivyo. kumbuka hamna mwerevu bila mjinga kuwepo. saa nyingine jitahidi kujua maana kabla hujakimbilia kutoa puvu.
 
Back
Top Bottom