Hebie
JF-Expert Member
- Jul 29, 2012
- 1,415
- 859
Siku chache zilizopita nimeona rank za vyuo,
kwanza zilianza zile za Africa kwa ujumla, baadae nimeona Tanzania, baadhi ya vyuo vilivyotajwa kwa ubora n.
UDSM
UDOM
MZUMBE
IFM
Mm nasoma St.John University of Tanzania, je hiki ni cha ngapi kwa Ubora? Au kanyaboya
kwanza zilianza zile za Africa kwa ujumla, baadae nimeona Tanzania, baadhi ya vyuo vilivyotajwa kwa ubora n.
UDSM
UDOM
MZUMBE
IFM
Mm nasoma St.John University of Tanzania, je hiki ni cha ngapi kwa Ubora? Au kanyaboya