Kazi kazi.Na Jiwe&Co?
hiki chama kitawanyoosha hata nyie mliokipigania, unasoma namba na wewe (nnauye)
Ni suala la muda mkuu.Nape bado kijana still have bright future chamani.Huyu Jiwe atapita na makandokando yake.Kina Nape wataendelea kuwepo.Lakini naamini baada ya Jiwe kupitia watakuwa wamejifunza jambo kubwa sana.Wataelewa kwamba Tanzania ni ya watu wote ,pamoja na wapinzani,sio ya CCM peke yake.Kiburi si maungwana..lk
hiki chama kitawanyoosha hata nyie mliokipigania, unasoma namba na wewe (nnauye)