Hiki chakula sijui nikiiteje ila ni kitamu ajabu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,789
unachukua fish fillets au meat fillets unazikaanga na mafuta kidogo na vinegar kwa mbali kisha unapasulia yai lisilovurugwa juu yake unaacha kwenye moto kama dak 5 kisha unaopoa! unakuwa na kachumbari ya fresh veg pembeni na glass ya sweetwine!
 
Nahisi hiyo ni aina ya country salad

Mie huweka yai la kuchemsha.olive zenyewe,cucumber,majani ya salad,tuna fish wa kikopo then juu namiminia olive juice yake ambayo inatunzwa hizo olive zenyewe na naweka olive oil kidogo ni nzuri sana very health ni nzuri kwa wanaotaka kufanya balance diet
 
Nahisi hiyo ni aina ya country salad

Mie huweka yai la kuchemsha.olive zenyewe,cucumber,majani ya salad,tuna fish wa kikopo then juu namiminia olive juice yake ambayo inatunzwa hizo olive zenyewe na naweka olive oil kidogo ni nzuri sana very health ni nzuri kwa wanaotaka kufanya balance diet

Farkhina hii nimeipenda
 
unachukua fish fillets au meat fillets unazikaanga na mafuta kidogo na vinegar kwa mbali kisha unapasulia yai lisilovurugwa juu yake unaacha kwenye moto kama dak 5 kisha unaopoa! unakuwa na kachumbari ya fresh veg pembeni na glass ya sweetwine!


Aisee! Hongera sana
 
Back
Top Bottom