Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Aisee leo nimeingia ofisini na kushangazwa na wadada ofisini kwetu. Wengi wao wamevalia hijab, vikoti na sketi ndefu.
Wao wanadai wamevaa hivyo kumuunga mkono Mama Samia. Yaani kuanzia Branch Manager mpaka Receptionist, wote ni hijab, kikoti na sketi ndefu.
Wao wanadai wamevaa hivyo kumuunga mkono Mama Samia. Yaani kuanzia Branch Manager mpaka Receptionist, wote ni hijab, kikoti na sketi ndefu.