Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,323
Hivi kinachofanyika kwenye hija za |srael ni ibada au ni utalii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sehemu gani hasa ya Israel???
Israel ni nchi ndogo sana! Yaani inaweza kuwa sawa na mkoa mmoja mkubwa wa Tanzania. Kwa hiyo unaweza kutembelea sehemu zote muhimu za kihistoria zilizopo huko!
I knw one of the places where people go for pilgrimage is Haifa.....
OK! I have no idea of the whole pilgrimage schedule or places. Ila nina taarifa kwamba kuna safari hivi karibuni ya kwenda huko ikiongozwa na Mwakasege kama sikosei. It costs USD 2,500 per person!
ndio kila kitu inclusive huh.....!!!!
anyways personally am attached to Haifa and going there for pilgrimage is also my plan................
I did not get the details if that is only airfare or it includes everything and for how long. May get them next Sunday, don't worry! Lazima siku moja tukanyage pale kwenye nchi takatifu.....Holy Land!!
.I knw one of the places where people go for pilgrimage is Haifa.....
.
hija hufanyika sehemu moja tu ktk dunia, makkah mikusanyiko na ziara nyengine zote hazipaswi kuitwa hija , kwasababu hija ni matendo maalum yanayofanyawa sehemu maalum kwa wakati maalum. Kwahiyo huo ni utalii tu
exactly..........I should give you a DVD which shows places for pilgrimage in Haifa, you never know you might like to visit that as well.....
un uhakika gani na mimi sifanyi matendo maalumu ninapokwenda hija Haifa...thats my 'HOLY LAND' kwa wakati maalum??
tafadhali tuelewane vizuri hapa.......
nakwenda pilgrimage Haifa in the near future!!!!!!!!!!
u got it!!!Ok! I would love to watch it.
Hivi ni nini maana ya Hija? Isije kuwa tunazamia tu maneno ya dini za watu bila hata kujua maana yake!
un uhakika gani na mimi sifanyi matendo maalumu ninapokwenda hija Haifa...thats my 'HOLY LAND' kwa wakati maalum??
tafadhali tuelewane vizuri hapa.......
nakwenda pilgrimage Haifa in the near future!!!!!!!!!!
u got it!!!
kwenda hija ni kutembelea sehemu /eneo takatifu kwa sababu za kidini/safari ya kwenda sehemu ambayo ina uhusiano na jambo unaloliheshimu....if my memory is still intact!!!
.
hija hufanyika sehemu moja tu ktk dunia, makkah mikusanyiko na ziara nyengine zote hazipaswi kuitwa hija , kwasababu hija ni matendo maalum yanayofanyawa sehemu maalum kwa wakati maalum. Kwahiyo huo ni utalii tu