GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,545
- 108,858
Walianza na watangazaji ‘ mahiri ‘ sana wa michezo wakina Maulid Kitenge, Edward Kumwembe, Ahmed Abdallah, Yusuph Mkule, Mwanaidi Suleiman wakimjumuisha na yule mtangazaji waliyemkuta hapa wa michezo Ricardo Momo na jana tena wamemuongeza ‘ Mchambuzi ‘ wa michezo ambaye ndiyo alikuwa akiifanya Magic fm kuwa juu George Ambangile.
Na juzi tena katika kuonyesha kuwa hawana ‘ Masihara ‘ na kwamba wameingia katika ‘ Game ‘ hasa wamemnyakua mtangazaji ‘ mtundu mtundu ‘ Hillary Daud a.k.a Zembwela ambaye atakuwa katika kipindi cha asubuhi na nasikia tena kuwa wiki hii hii kuna watangazaji wengine ‘ mahiri ‘ wa kike na wa kiume wa vipindi vya burudani nao wanaenda kuwachukua.
Habari za chini chini ambazo ' nimepenyezewa ' ingawa bado sijazithibitisha zinasema kwamba baada ya Kumalizana na hao Watangazaji ' mahiri ' wa Michezo sasa wanahamia katika Watangazaji ' mahiri ' wa Vipindi vingine hasa vya burudani, vya kijamii na vile vya ' Kimahaba ' vya Usiku ambapo Redio ambazo kuanzia sasa zikae sawa kwani Watangazaji wake watake wasitake wanaenda ' Kuzolewa ' kama siyo ' Kunyakuliwa ' na Jeuri ya Wasafi Media Company ni hizi zifuatazo:
Ile iliyopo njia panda ya kwenda Coca Cola inatazamana na Taasisi ambayo Wafanyakazi wake wakisikia tu ' Majanga ' yoyote yametokea wao ndiyo huwa wa Kwanza kutokea eneo la tukio.
Ile iliyopo jirani na Mto Mmoja ambao huwa ukijaa hata Ofisi zao Maji hujaa na barabara ya kutoka Ubungo hadi Buguruni Sheli huwa haipitiki kabisa na Malori mengi hupita hapo hapo hadi Treni ya Mwakyembe pia.
Ile iliyopo jirani na Chuo Kimoja Wilayani Kinondoni ambacho Wanafunzi wake hasa wa Kike wakianza Masomo huwa na Nidhamu na Maadili ila baada ya miezi Sita ( 6 ) huanza kuwa ' Makahaba ' na kujiuza eneo la Mita chache na Geti Kuu la Chuo chao hicho
Ile iliyopo njia panda na barabara ya kwenda yalipo Makazi ya Mkuu wa Majeshi wa sasa CDF General Afande Mabeyo na hakuna DalaDala la Kawe ambalo huwa halipiti jirani nao na inatazamana na Eneo maarufu la Burudani na Starehe yenye Jina linalofanana na tarakimu moja iliyopo katika Sinema ya Mcheza Sinema Mkongwe James Bond.
Ile iliyopo eneo la Viwanda Mikocheni ambayo mwaka huu huu karibia 99.9% ya Wafanyakazi wake walitokwa na Machozi japo katika Familia yake sasa hivi ' Moto ' unawaka huko.
Ile iliyopo mkabala na Jengo Moja ( Hoteli ) eneo la Bamaga yenye jina la herufi ' K ' na ipo kwa nyuma yake tu hapo
Shikamooni Wasafi fm na Wasafi tv!
Na juzi tena katika kuonyesha kuwa hawana ‘ Masihara ‘ na kwamba wameingia katika ‘ Game ‘ hasa wamemnyakua mtangazaji ‘ mtundu mtundu ‘ Hillary Daud a.k.a Zembwela ambaye atakuwa katika kipindi cha asubuhi na nasikia tena kuwa wiki hii hii kuna watangazaji wengine ‘ mahiri ‘ wa kike na wa kiume wa vipindi vya burudani nao wanaenda kuwachukua.
Habari za chini chini ambazo ' nimepenyezewa ' ingawa bado sijazithibitisha zinasema kwamba baada ya Kumalizana na hao Watangazaji ' mahiri ' wa Michezo sasa wanahamia katika Watangazaji ' mahiri ' wa Vipindi vingine hasa vya burudani, vya kijamii na vile vya ' Kimahaba ' vya Usiku ambapo Redio ambazo kuanzia sasa zikae sawa kwani Watangazaji wake watake wasitake wanaenda ' Kuzolewa ' kama siyo ' Kunyakuliwa ' na Jeuri ya Wasafi Media Company ni hizi zifuatazo:
Ile iliyopo njia panda ya kwenda Coca Cola inatazamana na Taasisi ambayo Wafanyakazi wake wakisikia tu ' Majanga ' yoyote yametokea wao ndiyo huwa wa Kwanza kutokea eneo la tukio.
Ile iliyopo jirani na Mto Mmoja ambao huwa ukijaa hata Ofisi zao Maji hujaa na barabara ya kutoka Ubungo hadi Buguruni Sheli huwa haipitiki kabisa na Malori mengi hupita hapo hapo hadi Treni ya Mwakyembe pia.
Ile iliyopo jirani na Chuo Kimoja Wilayani Kinondoni ambacho Wanafunzi wake hasa wa Kike wakianza Masomo huwa na Nidhamu na Maadili ila baada ya miezi Sita ( 6 ) huanza kuwa ' Makahaba ' na kujiuza eneo la Mita chache na Geti Kuu la Chuo chao hicho
Ile iliyopo njia panda na barabara ya kwenda yalipo Makazi ya Mkuu wa Majeshi wa sasa CDF General Afande Mabeyo na hakuna DalaDala la Kawe ambalo huwa halipiti jirani nao na inatazamana na Eneo maarufu la Burudani na Starehe yenye Jina linalofanana na tarakimu moja iliyopo katika Sinema ya Mcheza Sinema Mkongwe James Bond.
Ile iliyopo eneo la Viwanda Mikocheni ambayo mwaka huu huu karibia 99.9% ya Wafanyakazi wake walitokwa na Machozi japo katika Familia yake sasa hivi ' Moto ' unawaka huko.
Ile iliyopo mkabala na Jengo Moja ( Hoteli ) eneo la Bamaga yenye jina la herufi ' K ' na ipo kwa nyuma yake tu hapo
Shikamooni Wasafi fm na Wasafi tv!