Hii yaweza kuwa sababu ya CHADEMA kumkubali Lowassa

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Katika karne hii ya soko huria na ujasiliamali tunaweza kudefine au kuiweka siasa kama njia mojawapo ya kiuchumi ama ujasiriamali.

Siasa ya sasa ni sehemu ya watu kujiajiri au kuinvest!

Siasa ni fursa ya kuneemesha mtu mmoja mmoja au kundi flani la wafuasi wa kisiasa.

Siasa ya sasa sio ile ya kina baba wa Taifa ikiyofocus katika kuhudumia wananchi na kuishi principles flani flani.

Siasa ya leo haifocus kwenye kukamata dola na kuishi kwa prestige pekee.

Utangulizi huo utanipeleka katika hoja yangu ya msingi.

kuna tuhuma zilizowahi kutolewa kwa chadema kuonekana kama saccoss badala ya chama cha siasa.

Tuhuma hizi zaweza kuwa kweli kwani kwa muelekeo wa siasa za mbowe ni wazi alitaka kukifanya chadema kuwa brand flani hivi ya kuingiza fedha.

wakati tunaingia na mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 tulishuhudia kuzuka kwa mavazi au vito mbalimbali vyenye rangi za au alama za chadema kama vile Tshirt,kofia,skafu,magwanda na vinginevyo vya aina hiyo.

products hizi zilikuwa haziko rasmi kama mali ya chama bali kila mbinifu ndani ya chadema hasa maeneo ya Arusha na Moshi alitoka kivyake.

Jambo hili liliendelea katika harakati zote za chadema mikoani.

Na katika mwaka huu wafanyabiashara wadogowadogo hasa hasa jijini Arusha walijiandaa vyema kwa kuandaa mavazi na vito mbalimbali ambavyo walitarajia kuviuza kwenye mikutano ya kisiasa hasa hasa ile ya chadema.

Nimetembelea madocs(viduka vya nguo) mbalimbali na kujionea Tshirt,kofia,magwanda,masweta na skafu zikiwa zimetundikwa sambamba na zile nguo za kichina.

Namuona mbowe kama mjasiliamali mjanja kwani ameona kuna soko kubwa la kuuza mavazi na vito mbalimbali kwa kumerge brand ya chadema na ile ya Team lowassa.

hapa tunajionea sticker za magari na vito vinginevyo vikianza kuuzwa mjini.

Huu ni ujasiliamali wa hali ya juu sana na inafaa tumpongeze kwa hilo.

Kimsingi Chadema chini ya mbowe kimeamua kusimama katika misingi ya soko huria.

Kwa ufupi chadema haikujiaandaa au kuwa serios kushika dola bali imejikita katika kuwafaidisha wajasiliamali wadogo na wakati.

Hivyo watanzania wasione shida katika kuamua ni chama kipi kitasimamia siasa classical vs siasa za soko huria!!

Chadema iko gulioni wakati ccm imejikita katika siasa za kuwalinda wajasiliamali,wakulima,wafugaji,wavuvi na wafanyakazi.

HII NI TAFAKARI YA jingalao

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
kutoka kuwa associate Prof mpaka jingalao .hapa siongezi neno
 
Last edited by a moderator:
Wakuu naomba nieleweke kwa hili.

Juzi ijumaa niliamua kwenda kijijini kuwasalimia wazazi wangu,na nilibeba baadhi ya vyakula kwa ajili yao. Nilipofika na kuwajulia hali,nikamuuliza baba je unaonaje mwenendo wa siasa nchini? Naona bado mnaipenda CCM iliyowalea na kuwaletea maendeleo.

Kwakweli nilisikia sauti ya mwanamke akilia huko jikoni,nikamuuliza baba ni nani analia? Akaniambia naona unataka laana ya mama yako mzazi kutokana na hayo maneno yako. Baba akaniuliza kwa hasira: huo mkate umeununua shillingi ngapi? Nikamwambia 2000/= akaendelea na hiyo blueband,kahawa na maziwa ya Nido na cocoa vimetengenezwa wapi? Nikamwambia Kenya.

Baba akasema inamaana Tanzania hatulimi kahawa? Hatufugi Ng'ombe? Kwanini tutengenezewe vitu na wakenya? Nikakosa jibu, kisha akaniambia sasa kwanini unatutukana sisi wazee wako kuwa tumeletewa maendeleo na CCM? Ni maendeleo yapi hayo? kwanini vijana mnatuona hatuna akili? Nashukuru Wife aliniombea msamaha,ikabidi tuage na kuondoka.
 
Wakuu naomba nieleweke kwa hili.

Juzi ijumaa niliamua kwenda kijijini kuwasalimia wazazi wangu,na nilibeba baadhi ya vyakula kwa ajili yao. Nilipofika na kuwajulia hali,nikamuuliza baba je unaonaje mwenendo wa siasa nchini? Naona bado mnaipenda CCM iliyowalea na kuwaletea maendeleo.

Kwakweli nilisikia sauti ya mwanamke akilia huko jikoni,nikamuuliza baba ni nani analia? Akaniambia naona unataka laana ya mama yako mzazi kutokana na hayo maneno yako. Baba akaniuliza kwa hasira: huo mkate umeununua shillingi ngapi? Nikamwambia 2000/= akaendelea na hiyo blueband,kahawa na maziwa ya Nido na cocoa vimetengenezwa wapi? Nikamwambia Kenya.

Baba akasema inamaana Tanzania hatulimi kahawa? Hatufugi Ng'ombe? Kwanini tutengenezewe vitu na wakenya? Nikakosa jibu, kisha akaniambia sasa kwanini unatutukana sisi wazee wako kuwa tumeletewa maendeleo na CCM? Ni maendeleo yapi hayo? kwanini vijana mnatuona hatuna akili? Nashukuru Wife aliniombea msamaha,ikabidi tuage na kuondoka.

Ungemueleza ukweli mkuu.
kwamba aliyekuwezasha kupata fedha za kununulia hayo mazaga ni ccm hiyo hiyo wanayoinanga!
 
Katika karne hii ya soko huria na ujasiliamali tunaweza kudefine au kuiweka siasa kama njia mojawapo ya kiuchumi ama ujasiriamali.

Siasa ya sasa ni sehemu ya watu kujiajiri au kuinvest!

Siasa ni fursa ya kuneemesha mtu mmoja mmoja au kundi flani la wafuasi wa kisiasa.

Siasa ya sasa sio ile ya kina baba wa Taifa ikiyofocus katika kuhudumia wananchi na kuishi principles flani flani.

Siasa ya leo haifocus kwenye kukamata dola na kuishi kwa prestige pekee.

Utangulizi huo utanipeleka katika hoja yangu ya msingi.

kuna tuhuma zilizowahi kutolewa kwa chadema kuonekana kama saccoss badala ya chama cha siasa.

Tuhuma hizi zaweza kuwa kweli kwani kwa muelekeo wa siasa za mbowe ni wazi alitaka kukifanya chadema kuwa brand flani hivi ya kuingiza fedha.

wakati tunaingia na mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 tulishuhudia kuzuka kwa mavazi au vito mbalimbali vyenye rangi za au alama za chadema kama vile Tshirt,kofia,skafu,magwanda na vinginevyo vya aina hiyo.

products hizi zilikuwa haziko rasmi kama mali ya chama bali kila mbinifu ndani ya chadema hasa maeneo ya Arusha na Moshi alitoka kivyake.

Jambo hili liliendelea katika harakati zote za chadema mikoani.

Na katika mwaka huu wafanyabiashara wadogowadogo hasa hasa jijini Arusha walijiandaa vyema kwa kuandaa mavazi na vito mbalimbali ambavyo walitarajia kuviuza kwenye mikutano ya kisiasa hasa hasa ile ya chadema.

Nimetembelea madocs(viduka vya nguo) mbalimbali na kujionea Tshirt,kofia,magwanda,masweta na skafu zikiwa zimetundikwa sambamba na zile nguo za kichina.

Namuona mbowe kama mjasiliamali mjanja kwani ameona kuna soko kubwa la kuuza mavazi na vito mbalimbali kwa kumerge brand ya chadema na ile ya Team lowassa.

hapa tunajionea sticker za magari na vito vinginevyo vikianza kuuzwa mjini.

Huu ni ujasiliamali wa hali ya juu sana na inafaa tumpongeze kwa hilo.

Kimsingi Chadema chini ya mbowe kimeamua kusimama katika misingi ya soko huria.

Kwa ufupi chadema haikujiaandaa au kuwa serios kushika dola bali imejikita katika kuwafaidisha wajasiliamali wadogo na wakati.

Hivyo watanzania wasione shida katika kuamua ni chama kipi kitasimamia siasa classical vs siasa za soko huria!!

Chadema iko gulioni wakati ccm imejikita katika siasa za kuwalinda wajasiliamali,wakulima,wafugaji,wavuvi na wafanyakazi.

HII NI TAFAKARI YA jingalao

Nimeshatukanwa kwa kiswahili,kingereza,kipare na kimasai...natarajia nijifunze matusi ya lugha mbalimbali pia kutoka kwa #Teamdodoki .


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA![/QUOTE

Ndio nini Sasa.....

Kama hujaelewa rudia kusoma.save it for your kids!
 
Last edited by a moderator:
Chadema ni saccoss na imejidhihirisha hivyo.

Hapo sijaongelea kuongezeka kwa ruzuku.
 
Katika karne hii ya soko huria na ujasiliamali tunaweza kudefine au kuiweka siasa kama njia mojawapo ya kiuchumi ama ujasiriamali.

Siasa ya sasa ni sehemu ya watu kujiajiri au kuinvest!

Siasa ni fursa ya kuneemesha mtu mmoja mmoja au kundi flani la wafuasi wa kisiasa.

Siasa ya sasa sio ile ya kina baba wa Taifa ikiyofocus katika kuhudumia wananchi na kuishi principles flani flani.

Siasa ya leo haifocus kwenye kukamata dola na kuishi kwa prestige pekee.

Utangulizi huo utanipeleka katika hoja yangu ya msingi.

kuna tuhuma zilizowahi kutolewa kwa chadema kuonekana kama saccoss badala ya chama cha siasa.

Tuhuma hizi zaweza kuwa kweli kwani kwa muelekeo wa siasa za mbowe ni wazi alitaka kukifanya chadema kuwa brand flani hivi ya kuingiza fedha.

wakati tunaingia na mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 tulishuhudia kuzuka kwa mavazi au vito mbalimbali vyenye rangi za au alama za chadema kama vile Tshirt,kofia,skafu,magwanda na vinginevyo vya aina hiyo.

products hizi zilikuwa haziko rasmi kama mali ya chama bali kila mbinifu ndani ya chadema hasa maeneo ya Arusha na Moshi alitoka kivyake.

Jambo hili liliendelea katika harakati zote za chadema mikoani.

Na katika mwaka huu wafanyabiashara wadogowadogo hasa hasa jijini Arusha walijiandaa vyema kwa kuandaa mavazi na vito mbalimbali ambavyo walitarajia kuviuza kwenye mikutano ya kisiasa hasa hasa ile ya chadema.

Nimetembelea madocs(viduka vya nguo) mbalimbali na kujionea Tshirt,kofia,magwanda,masweta na skafu zikiwa zimetundikwa sambamba na zile nguo za kichina.

Namuona mbowe kama mjasiliamali mjanja kwani ameona kuna soko kubwa la kuuza mavazi na vito mbalimbali kwa kumerge brand ya chadema na ile ya Team lowassa.

hapa tunajionea sticker za magari na vito vinginevyo vikianza kuuzwa mjini.

Huu ni ujasiliamali wa hali ya juu sana na inafaa tumpongeze kwa hilo.

Kimsingi Chadema chini ya mbowe kimeamua kusimama katika misingi ya soko huria.

Kwa ufupi chadema haikujiaandaa au kuwa serios kushika dola bali imejikita katika kuwafaidisha wajasiliamali wadogo na wakati.

Hivyo watanzania wasione shida katika kuamua ni chama kipi kitasimamia siasa classical vs siasa za soko huria!!

Chadema iko gulioni wakati ccm imejikita katika siasa za kuwalinda wajasiliamali,wakulima,wafugaji,wavuvi na wafanyakazi.

HII NI TAFAKARI YA jingalao

Nimeshatukanwa kwa kiswahili,kingereza,kipare na kimasai...natarajia nijifunze matusi ya lugha mbalimbali pia kutoka kwa #Teamdodoki .


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Umejiandaa kutukanwa kwasababu unajijua wewe ni mjinga.hongera kwa kujitambua.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu naomba nieleweke kwa hili.

Juzi ijumaa niliamua kwenda kijijini kuwasalimia wazazi wangu,na nilibeba baadhi ya vyakula kwa ajili yao. Nilipofika na kuwajulia hali,nikamuuliza baba je unaonaje mwenendo wa siasa nchini? Naona bado mnaipenda CCM iliyowalea na kuwaletea maendeleo.

Kwakweli nilisikia sauti ya mwanamke akilia huko jikoni,nikamuuliza baba ni nani analia? Akaniambia naona unataka laana ya mama yako mzazi kutokana na hayo maneno yako. Baba akaniuliza kwa hasira: huo mkate umeununua shillingi ngapi? Nikamwambia 2000/= akaendelea na hiyo blueband,kahawa na maziwa ya Nido na cocoa vimetengenezwa wapi? Nikamwambia Kenya.

Baba akasema inamaana Tanzania hatulimi kahawa? Hatufugi Ng'ombe? Kwanini tutengenezewe vitu na wakenya? Nikakosa jibu, kisha akaniambia sasa kwanini unatutukana sisi wazee wako kuwa tumeletewa maendeleo na CCM? Ni maendeleo yapi hayo? kwanini vijana mnatuona hatuna akili? Nashukuru Wife aliniombea msamaha,ikabidi tuage na kuondoka.

Mkuu unaandika script au?
 
katika karne hii ya soko huria na ujasiliamali tunaweza kudefine au kuiweka siasa kama njia mojawapo ya kiuchumi ama ujasiriamali.

Siasa ya sasa ni sehemu ya watu kujiajiri au kuinvest!

Siasa ni fursa ya kuneemesha mtu mmoja mmoja au kundi flani la wafuasi wa kisiasa.

Siasa ya sasa sio ile ya kina baba wa taifa ikiyofocus katika kuhudumia wananchi na kuishi principles flani flani.

Siasa ya leo haifocus kwenye kukamata dola na kuishi kwa prestige pekee.

Utangulizi huo utanipeleka katika hoja yangu ya msingi.

Kuna tuhuma zilizowahi kutolewa kwa chadema kuonekana kama saccoss badala ya chama cha siasa.

Tuhuma hizi zaweza kuwa kweli kwani kwa muelekeo wa siasa za mbowe ni wazi alitaka kukifanya chadema kuwa brand flani hivi ya kuingiza fedha.

Wakati tunaingia na mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 tulishuhudia kuzuka kwa mavazi au vito mbalimbali vyenye rangi za au alama za chadema kama vile tshirt,kofia,skafu,magwanda na vinginevyo vya aina hiyo.

Products hizi zilikuwa haziko rasmi kama mali ya chama bali kila mbinifu ndani ya chadema hasa maeneo ya arusha na moshi alitoka kivyake.

Jambo hili liliendelea katika harakati zote za chadema mikoani.

Na katika mwaka huu wafanyabiashara wadogowadogo hasa hasa jijini arusha walijiandaa vyema kwa kuandaa mavazi na vito mbalimbali ambavyo walitarajia kuviuza kwenye mikutano ya kisiasa hasa hasa ile ya chadema.

Nimetembelea madocs(viduka vya nguo) mbalimbali na kujionea tshirt,kofia,magwanda,masweta na skafu zikiwa zimetundikwa sambamba na zile nguo za kichina.

Namuona mbowe kama mjasiliamali mjanja kwani ameona kuna soko kubwa la kuuza mavazi na vito mbalimbali kwa kumerge brand ya chadema na ile ya team lowassa.

Hapa tunajionea sticker za magari na vito vinginevyo vikianza kuuzwa mjini.

Huu ni ujasiliamali wa hali ya juu sana na inafaa tumpongeze kwa hilo.

Kimsingi chadema chini ya mbowe kimeamua kusimama katika misingi ya soko huria.

Kwa ufupi chadema haikujiaandaa au kuwa serios kushika dola bali imejikita katika kuwafaidisha wajasiliamali wadogo na wakati.

Hivyo watanzania wasione shida katika kuamua ni chama kipi kitasimamia siasa classical vs siasa za soko huria!!

Chadema iko gulioni wakati ccm imejikita katika siasa za kuwalinda wajasiliamali,wakulima,wafugaji,wavuvi na wafanyakazi.

Hii ni tafakari ya jingalao

nimeshatukanwa kwa kiswahili,kingereza,kipare na kimasai...natarajia nijifunze matusi ya lugha mbalimbali pia kutoka kwa #teamdodoki .


Kwa hisani ya mtu wa tanzania!

kubwa jinga aka jinga lao
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom