jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Katika karne hii ya soko huria na ujasiliamali tunaweza kudefine au kuiweka siasa kama njia mojawapo ya kiuchumi ama ujasiriamali.
Siasa ya sasa ni sehemu ya watu kujiajiri au kuinvest!
Siasa ni fursa ya kuneemesha mtu mmoja mmoja au kundi flani la wafuasi wa kisiasa.
Siasa ya sasa sio ile ya kina baba wa Taifa ikiyofocus katika kuhudumia wananchi na kuishi principles flani flani.
Siasa ya leo haifocus kwenye kukamata dola na kuishi kwa prestige pekee.
Utangulizi huo utanipeleka katika hoja yangu ya msingi.
kuna tuhuma zilizowahi kutolewa kwa chadema kuonekana kama saccoss badala ya chama cha siasa.
Tuhuma hizi zaweza kuwa kweli kwani kwa muelekeo wa siasa za mbowe ni wazi alitaka kukifanya chadema kuwa brand flani hivi ya kuingiza fedha.
wakati tunaingia na mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 tulishuhudia kuzuka kwa mavazi au vito mbalimbali vyenye rangi za au alama za chadema kama vile Tshirt,kofia,skafu,magwanda na vinginevyo vya aina hiyo.
products hizi zilikuwa haziko rasmi kama mali ya chama bali kila mbinifu ndani ya chadema hasa maeneo ya Arusha na Moshi alitoka kivyake.
Jambo hili liliendelea katika harakati zote za chadema mikoani.
Na katika mwaka huu wafanyabiashara wadogowadogo hasa hasa jijini Arusha walijiandaa vyema kwa kuandaa mavazi na vito mbalimbali ambavyo walitarajia kuviuza kwenye mikutano ya kisiasa hasa hasa ile ya chadema.
Nimetembelea madocs(viduka vya nguo) mbalimbali na kujionea Tshirt,kofia,magwanda,masweta na skafu zikiwa zimetundikwa sambamba na zile nguo za kichina.
Namuona mbowe kama mjasiliamali mjanja kwani ameona kuna soko kubwa la kuuza mavazi na vito mbalimbali kwa kumerge brand ya chadema na ile ya Team lowassa.
hapa tunajionea sticker za magari na vito vinginevyo vikianza kuuzwa mjini.
Huu ni ujasiliamali wa hali ya juu sana na inafaa tumpongeze kwa hilo.
Kimsingi Chadema chini ya mbowe kimeamua kusimama katika misingi ya soko huria.
Kwa ufupi chadema haikujiaandaa au kuwa serios kushika dola bali imejikita katika kuwafaidisha wajasiliamali wadogo na wakati.
Hivyo watanzania wasione shida katika kuamua ni chama kipi kitasimamia siasa classical vs siasa za soko huria!!
Chadema iko gulioni wakati ccm imejikita katika siasa za kuwalinda wajasiliamali,wakulima,wafugaji,wavuvi na wafanyakazi.
HII NI TAFAKARI YA jingalao
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Siasa ya sasa ni sehemu ya watu kujiajiri au kuinvest!
Siasa ni fursa ya kuneemesha mtu mmoja mmoja au kundi flani la wafuasi wa kisiasa.
Siasa ya sasa sio ile ya kina baba wa Taifa ikiyofocus katika kuhudumia wananchi na kuishi principles flani flani.
Siasa ya leo haifocus kwenye kukamata dola na kuishi kwa prestige pekee.
Utangulizi huo utanipeleka katika hoja yangu ya msingi.
kuna tuhuma zilizowahi kutolewa kwa chadema kuonekana kama saccoss badala ya chama cha siasa.
Tuhuma hizi zaweza kuwa kweli kwani kwa muelekeo wa siasa za mbowe ni wazi alitaka kukifanya chadema kuwa brand flani hivi ya kuingiza fedha.
wakati tunaingia na mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 tulishuhudia kuzuka kwa mavazi au vito mbalimbali vyenye rangi za au alama za chadema kama vile Tshirt,kofia,skafu,magwanda na vinginevyo vya aina hiyo.
products hizi zilikuwa haziko rasmi kama mali ya chama bali kila mbinifu ndani ya chadema hasa maeneo ya Arusha na Moshi alitoka kivyake.
Jambo hili liliendelea katika harakati zote za chadema mikoani.
Na katika mwaka huu wafanyabiashara wadogowadogo hasa hasa jijini Arusha walijiandaa vyema kwa kuandaa mavazi na vito mbalimbali ambavyo walitarajia kuviuza kwenye mikutano ya kisiasa hasa hasa ile ya chadema.
Nimetembelea madocs(viduka vya nguo) mbalimbali na kujionea Tshirt,kofia,magwanda,masweta na skafu zikiwa zimetundikwa sambamba na zile nguo za kichina.
Namuona mbowe kama mjasiliamali mjanja kwani ameona kuna soko kubwa la kuuza mavazi na vito mbalimbali kwa kumerge brand ya chadema na ile ya Team lowassa.
hapa tunajionea sticker za magari na vito vinginevyo vikianza kuuzwa mjini.
Huu ni ujasiliamali wa hali ya juu sana na inafaa tumpongeze kwa hilo.
Kimsingi Chadema chini ya mbowe kimeamua kusimama katika misingi ya soko huria.
Kwa ufupi chadema haikujiaandaa au kuwa serios kushika dola bali imejikita katika kuwafaidisha wajasiliamali wadogo na wakati.
Hivyo watanzania wasione shida katika kuamua ni chama kipi kitasimamia siasa classical vs siasa za soko huria!!
Chadema iko gulioni wakati ccm imejikita katika siasa za kuwalinda wajasiliamali,wakulima,wafugaji,wavuvi na wafanyakazi.
HII NI TAFAKARI YA jingalao
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!