Hii ya Wamasai ni testing ground ya kuhamisha Watanzania wengine maeneo yao

SOVIET UNION

JF-Expert Member
Sep 2, 2017
455
1,283
Serikali imefanikiwa kweli kuhamisha wamasai kutoka eneo lao la asili walilo zaliwa na kupelekwa maeneo mapya bila ya wao kupenda.

Ni wahakikishie kwamba kuhamisha Watanzania kupisha wawekezaji hakutaishia Ngorongoro pekeee na kwa sasa bench mark itakuwa ni Ngorongoro, kwamba kule ilifanikiwa hivyo hata kwingine itafanikiwa tu.

Bahati mbaya Watanzania wengi wanaona hili linasahusu Wamasai pekeee lakini ukweli ni kwamba Ngorongoro ndo eneo la field la kuwahamisha Watanzania wengine maeneo mengine kupisha wawekezaji.

Kama tunazania hili swala linaishia kwa wamasai pekee tunajidanganya sana na tusubili siku Wazazi wetu au babu zetu wanaambiwa hameni hapa kupisha wawekezaji ndo tupataka alili.Staili itakayo tumika ni hio hio ya Ngorongoro ya kuhamusha Kijiji na kwenda kuwajengea nyumba mkoa hata mwingine.

Hili sio swala la kusherekea, kumbuka wale wana haki yao pale, whay leo wahamishwe?
 
Wamasai sio jamii ya kwanza kuhamishwa ili kupisha shughuli zingine. Watu kila siku wanahamishwa kupisha ujenzi wa barabara, majengo, viwanja vya ndege na maendeleo mengine.

Tena hawa wamasai wamepewa eneo jipya, usafiri na fidia kabisa wahame tu kwa amani. Prof Jay na watanzania wengi wamevunjiwa nyumba zao bila fidia yeyote.

Hawa mayeroo wakiendelea kujazwa kwamba wao ni special sana hawapaswi kuhama watakipata wanachokitafuta.
 
Wamasai sio jamii ya kwanza kuhamishwa ili kupisha shughuli zingine. Watu kila siku wanahamishwa kupisha ujenzi wa barabara, majengo, viwanja vya ndege na maendeleo mengine.

Tena hawa wamasai wamepewa eneo jipya, usafiri na fidia kabisa wahame tu kwa amani. Prof Jay na watanzania wengi wamevunjiwa nyumba zao bila fidia yeyote.

Hawa mayeroo wakiendelea kujazwa kwamba wao ni special sana hawapaswi kuhama watakipata wanachokitafuta.
Hakuna cha wao kuwa special ila wana haki na eneo lao.
 
Mama anaupiga mwingi.Mtajiju.
Screenshot_20220616-180801.jpg
 
Serikali imefanikiwa kweli kuhamisha wamasai kutoka eneo lao la asili walilo zaliwa na kupelekwa maeneo mapya bila ya wao kupenda.

Ni wahakikishie kwamba kuhamisha Watanzania kupisha wawekezaji hakutaishia Ngorongoro pekeee na kwa sasa bench mark itakuwa ni Ngorongoro, kwamba kule ilifanikiwa hivyo hata kwingine itafanikiwa tu.

Bahati mbaya Watanzania wengi wanaona hili linasahusu Wamasai pekeee lakini ukweli ni kwamba Ngorongoro ndo eneo la field la kuwahamisha Watanzania wengine maeneo mengine kupisha wawekezaji.

Kama tunazania hili swala linaishia kwa wamasai pekee tunajidanganya sana na tusubili siku Wazazi wetu au babu zetu wanaambiwa hameni hapa kupisha wawekezaji ndo tupataka alili.Staili itakayo tumika ni hio hio ya Ngorongoro ya kuhamusha Kijiji na kwenda kuwajengea nyumba mkoa hata mwingine.

Hili sio swala la kusherekea, kumbuka wale wana haki yao pale, whay leo wahamishwe?
Hili lilishatokea Mkoa wa Kilimanjaro miaka Ya 70+. Wachaga Wengi hasa wa Rombo walitakiwa kuhamia mikoa mingine Tanzania Ili wasiendelee kusogolea hifadhi ya Mlima Kilimanjaro na kuharibu Uoto wa Asili. Wazazi Wangu wananikumbusha Mwalimu Nyerere alipokuwa anatembelea Mkoa huo alikuwa anawahimiza kufanya hivyo. As a Result Wengi walihamia Tanga na Morogoro na ndio kisa Mikoa hii Kuna watu Wengi wenye Asili ya Kilimanjaro. Ila Sijui Uratibu wake Ulikuwaje. Wenye kukumbuka watujuze Please.
 
Serikali imefanikiwa kweli kuhamisha wamasai kutoka eneo lao la asili walilo zaliwa na kupelekwa maeneo mapya bila ya wao kupenda.

Ni wahakikishie kwamba kuhamisha Watanzania kupisha wawekezaji hakutaishia Ngorongoro pekeee na kwa sasa bench mark itakuwa ni Ngorongoro, kwamba kule ilifanikiwa hivyo hata kwingine itafanikiwa tu.

Bahati mbaya Watanzania wengi wanaona hili linasahusu Wamasai pekeee lakini ukweli ni kwamba Ngorongoro ndo eneo la field la kuwahamisha Watanzania wengine maeneo mengine kupisha wawekezaji.

Kama tunazania hili swala linaishia kwa wamasai pekee tunajidanganya sana na tusubili siku Wazazi wetu au babu zetu wanaambiwa hameni hapa kupisha wawekezaji ndo tupataka alili.Staili itakayo tumika ni hio hio ya Ngorongoro ya kuhamusha Kijiji na kwenda kuwajengea nyumba mkoa hata mwingine.

Hili sio swala la kusherekea, kumbuka wale wana haki yao pale, whay leo wahamishwe?
Bring back our LUKUVI, huyu mtoto wa naniiii kama Bado ni waziri kaz tunayoo.
 
Hakuna cha wao kuwa special ila wana haki na eneo lao.

Hawana haki kuliko watu wengine au what the gov sees fit.

Kama serikali inaona wamasai wanaingilia uendelevu wa hifadhi basi wahamishwe tena haraka kwa hiari au shurti.

Narudia kama wao wanajiona special sana basi watapata wanachokitafuta.
 
Ardhi ya Ngorongoro ni mali ya serikali, hakuna mmasai anayemiliki ardhi hiyo, kama waliachwa kuishi hapo ni kwa ruhusa ya serikali (mmiliki wa ardhi ya Ngorongoro).
Wahamishwe ili kutunza mazingira ya Ngorongoro yawe endelevu kwa vizazi vijavyo. Haiwezekani waachwe wachunge maelfu ya Ng'ombe ndani ya hifadhi bila kuchukua hatua stahiki.
Pia kama maeneo mengine ya nchi yataonekana kuna ulazima wa kuhamisha wakazi na kupisha shughuli nyingine za uhifadhi,uwekezaji...etc wafanye hivyo kwa manufaa ya Tanzania kwa ujumla.
Serikali wapo sahihi kwenye hili.
Tumerithishwa, Tuwarithishe..!
 
Hakuna cha wao kuwa special ila wana haki na eneo lao.
Serikali imefanikiwa kweli kuhamisha wamasai kutoka eneo lao la asili walilo zaliwa na kupelekwa maeneo mapya bila ya wao kupenda.

Ni wahakikishie kwamba kuhamisha Watanzania kupisha wawekezaji hakutaishia Ngorongoro pekeee na kwa sasa bench mark itakuwa ni Ngorongoro, kwamba kule ilifanikiwa hivyo hata kwingine itafanikiwa tu.

Bahati mbaya Watanzania wengi wanaona hili linasahusu Wamasai pekeee lakini ukweli ni kwamba Ngorongoro ndo eneo la field la kuwahamisha Watanzania wengine maeneo mengine kupisha wawekezaji.

Kama tunazania hili swala linaishia kwa wamasai pekee tunajidanganya sana na tusubili siku Wazazi wetu au babu zetu wanaambiwa hameni hapa kupisha wawekezaji ndo tupataka alili.Staili itakayo tumika ni hio hio ya Ngorongoro ya kuhamusha Kijiji na kwenda kuwajengea nyumba mkoa hata mwingine.

Hili sio swala la kusherekea, kumbuka wale wana haki yao pale, whay leo wahamishwe?
Kwani si wanahama kwa hiari au?
 
Kuhamishwa wao sio wa kwanza wala hawatakuwa wa mwisho.....

Ujenzi wa mji wa serikali Dom, watu si wamelipwa?

Standard gauge vipi watu hawakuamishwa?

Waliokuwa wanakaa mabondeni hapo dar hawakuamishwa?
Mzee zile T 27 zimekutembelea nini
 
Serikali imefanikiwa kweli kuhamisha wamasai kutoka eneo lao la asili walilo zaliwa na kupelekwa maeneo mapya bila ya wao kupenda.

Ni wahakikishie kwamba kuhamisha Watanzania kupisha wawekezaji hakutaishia Ngorongoro pekeee na kwa sasa bench mark itakuwa ni Ngorongoro, kwamba kule ilifanikiwa hivyo hata kwingine itafanikiwa tu.
Mwanza nako inatajwa kuhamisha watu milimanii
 
Back
Top Bottom