Hii ya mtu kufyatua risasi ktk msiba aliohudhuria Dr. Slaa imekaaje?

Matukio mengine ni ya bahati mbaya, attention yetu imekuwa kubwa kwa sababu alikuwepo DR Slaa. Hali halisi ya kisiasa nchini hivi sasa inachangia kukazia msimamo wetu lakini pengine halikuwa tukio la kumlenga Dk. Slaa. Jambo la msingi kama kweli jambo hilo limetokea na kulitolea taarifa jeshi la Polisi tunaamini, wananchi watahabarishwa kuhusu tukio hilo.
 
Ndugu zangu wana JF nawaheshimu sana na tunakubaliana wote hata wale waisompenda mtetezi wa wanyonge Dr. Slaa kuwa ni mtu muhimu sana.
Katika tukio hili kama huo msiba ulikuwa wa wajaluo na risasi zikapigwa ni JAMBO LA KAWAIDA KATIKA MISIBA YAO. NI ISHARA ZA HESHIMA. Wala msifikiri aliyepiga risasi ni mlevi la hasha ni kitu cha kawaida kabisa kwao krindima risasi 5 au kumi ni ishara ya heshima kwa marehemu.
Kinachoonekana hapa ni watu kutojua hili na kufikiria kuwa wana usalama walipanga kumdhuru Dr. Slaa.
Nafikiri wahusika kwenye misiba yao wangetafuta namna ya kufanya hizo taratibu kuwa rasmi ili watu wawe na taarifa.

Nawakilisha.
 
Sio vyema kuhitimisha kwamba mtu alifyatua risasi bali pia yawezekana risasi ndio ilifyatuka kwa bahati mbaya na mtu huyo aliogopa mkono wa sheria kumnasa akakimbia. Yamkini tuwe na mtazamo wa pande zote mbili pamoja na kwamba kipenzi chetu Dk. SLAA alikuwa eneo hilo. shukrani hakudhurika.
 
Ndugu zangu wana JF nawaheshimu sana na tunakubaliana wote hata wale waisompenda mtetezi wa wanyonge Dr. Slaa kuwa ni mtu muhimu sana.
Katika tukio hili kama huo msiba ulikuwa wa wajaluo na risasi zikapigwa ni JAMBO LA KAWAIDA KATIKA MISIBA YAO. NI ISHARA ZA HESHIMA. Wala msifikiri aliyepiga risasi ni mlevi la hasha ni kitu cha kawaida kabisa kwao krindima risasi 5 au kumi ni ishara ya heshima kwa marehemu.
Kinachoonekana hapa ni watu kutojua hili na kufikiria kuwa wana usalama walipanga kumdhuru Dr. Slaa.
Nafikiri wahusika kwenye misiba yao wangetafuta namna ya kufanya hizo taratibu kuwa rasmi ili watu wawe na taarifa.

Nawakilisha.
 
Ndugu zangu wana JF nawaheshimu sana na tunakubaliana wote hata wale waisompenda mtetezi wa wanyonge Dr. Slaa kuwa ni mtu muhimu sana.
Katika tukio hili kama huo msiba ulikuwa wa wajaluo na risasi zikapigwa ni JAMBO LA KAWAIDA KATIKA MISIBA YAO. NI ISHARA ZA HESHIMA. Wala msifikiri aliyepiga risasi ni mlevi la hasha ni kitu cha kawaida kabisa kwao krindima risasi 5 au kumi ni ishara ya heshima kwa marehemu.
Kinachoonekana hapa ni watu kutojua hili na kufikiria kuwa wana usalama walipanga kumdhuru Dr. Slaa.
Nafikiri wahusika kwenye misiba yao wangetafuta namna ya kufanya hizo taratibu kuwa rasmi ili watu wawe na taarifa.

Nawakilisha.


Hii Ni ngumu kukubaliana nayo .... when will Makongoro and group grow up??? ina maana kama ungekuwa msiba wa wakuyra basi mabomu yangeruhusiwa kupigwa pale ... kwa sababu ni jadi yao!
 
Ujinga tu wa baadhi ya wanasiasa wasiojua kusoma alama za nyakati,we watu wako msibani,risasi za nini?mazingira ya tukio la gongo la mboto hayaeleweki leo mwendawazimu mwingine anaagiza kufyatuliwa kwa risasi.....wanafikiri kwa kutumia nini?

Mungu azidi kumnusuru Dr Slaa!!!
 
ni huko gongolamboto.

Slaa alikuwa mmoja ya waombolezaji.

Makongolo na wafuasi wake pia walikuwapo.

Lakini baada ya makongolo na watu wake kuondoka, huku nyuma (msibani) zikarindima risasi. Zikafyatuliwa hewani. Taharuki. Watu wakazani mabom.

Source: Barua ya wasomaji(mwananchi)----(kwa hisani ya anne makinda)


kijana usiogope hiyo ni moja ya risala kwa raisi watu wamechoka..unajua kamamkristo naamini ni maji tu atutaangamizwa nayo so hii silaa inamwonyesha mh rais asitarajie maanadamano kutoka kama wenzao never tutaingia kwa mitutu..
 
Kova amesema atafuatilia ili amkamate aliyefyatua risasi. Kova wetu hana kazi nyingine muhimu za kufanya. Siku nyingi zimepita hajatuonyesha zile bunduki zake anazokamata.
 
sasa ni muda wa kuchukua hatua hawa mafisadi watatupeleka pabaya kwani this is too much kuwavumilia
 
Wewe umelogwa hupaswi kuwa hapa.mbona kwenye msiba wa ditopile hamkupiga risasi hewani wakati yeye ndio shujaa?
Mngejaribu kumjeruhi Rais wetu Dk.Slaa halafu muone balaa la wananchi.
 
He he heeee..... Hii habari hapo juu kama ni kweli basi inatisha na kusikitisha!

CCM wasijaribu kumdhuru ama kumuua Dr Slaa! Nchi haitakalika wala kutawalika.


mbona keshajiua tayari? we unadhani kwa yule kimada aliyemvamia slaa yupo salama kweli?
 
Wewe umelogwa hupaswi kuwa hapa.mbona kwenye msiba wa ditopile hamkupiga risasi hewani wakati yeye ndio shujaa?
Mngejaribu kumjeruhi Rais wetu Dk.Slaa halafu muone balaa la wananchi.

kweli wajinga bado wapo wengi! wakati slaa mwenyewe ana rais wake tayari Mh KIKWETE eti kuna watu wanaona yeye ndiye rais kazi ipo
 
nasikia akaondoka kusikojulikana......

1.hakukamatwa?

2.alikuwa na lengo gani?

3.je kullikuwa hakuna watu wa usalama ?hata wanajeshi wenyewe.
Aliondoka hakukamatwa na kwa kuwa hakukamatwa malengo yake hayajulikani lakini polisi wanamtafuta.
 
Back
Top Bottom