Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
E bwana Mwenyekiti wenu nimepanda li basi la UDA natoka kwangu kwa Gude nawahi zangu kibaruani. Si kapanda mama mmoja wa kihindi.... anatiririka maneno huyo balaa. Akianza kutaja viongozi anakutajia wa awamu zote kuanzia ma IGP,RC,DC, ma jaji, mahakimu toka bara na visiwani. Sitaki kusema ni chizi maana anaongea mengi ambayo hata mimi siyajui sema tu ndo vile hana mpangilio.. Kashukia TAZARA kalipa 150/=..yaani I have experienced the difference.