Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa ni kati ya Palm beach na posta ningekwambia ni Rabia mwehu wa Upanga..Lakini huko siko kaka...
Kaka huyu alikuwa akikutemea mate unamdunda kisawasawa, mpaka siku nyingine akikuona anabadilisha njia na uzuri wake ilikuwa ukimdunda hakusahau....
ndio maisha yenyewe.....Maisha yenyewe yako wapi kaka...!? tutafika hivyohivyo...
Ingekuwa ni kati ya Palm beach na posta ningekwambia ni Rabia mwehu wa Upanga..Lakini huko siko kaka...
Hivi yule Rabia bado Yupo....! Alinipiga bao la uso nilipokuwa mtoto sitosahau.... maana hadi damu zilitoka puani nilipita karibu yake na sikumstukia kama alikuwa kichaa first time kukutana nae na alikuwa ananuka
Hakuwahi kukutemea mate? Maana alikuwa hodari sana wa kuyatema. Mi nshakoswa koswa na mate yake mara kadhaa.
Ila uchi wake keshanifunulia....yuck! I was a bad kid.
Sikuwahi mpitia karibu tena after ile soo ila kuna siku nipo karibu na Kiduka Shop kwa Mzee Taibali nilikuwa nanunua Nangatai kabla hajahamisha duka lale kutoka home kwake alipita karibu nikaondoka ila kuna madogo wa Shule ya Muhimbili walibakia mmoja akatemewa...Hakuwahi kukutemea mate? Maana alikuwa hodari sana wa kuyatema. Mi nshakoswa koswa na mate yake mara kadhaa.
Ila uchi wake keshanifunulia....yuck! I was a bad kid.