Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
hahahaahhaah jamani sokomooooko,thubutu kabla hajala huo mgongo ataliwa yeye!
Duh hiyo kali naona mpaka Asprin kakugongea likes ina maana habari zako anazijua, back to the topic ikiwa unahisi unataka kukimbiwa kwa kuwa hutoi ushirikiano kwenye suala la ule mtandao wetu wa kuongea bure baada ya dakika ya tatu utafanyaje?