Hii ya leo imenisikitisha sana! Hivi wanaume tukoje jamani?

mito

JF-Expert Member
Jun 20, 2011
10,513
10,404
Hii ya moto moto kutoka Clouds. Mwanaume mmoja huko Shinyanga amefumaniwa (tena ndani ya chumba chake na mamsapu) akila uroda na house girl wao. Imekuja kujulikana huwa anamla takribani miezi 6 sasa - house girl wamekaa naye zaidi ya miaka 2 sasa.

Wife alivyotaka kujua kwanini jamaa anamla huyo house girl, jamaa akadai eti house girl anaweza kuruka ukuta wakati yeye wife hataki.

Hivyo kama anataka aendelee naye basi naye akubali kuruka ukuta (sasa sijui atakaa nao wote wawili au ...). Mama wa watu amejiondokea, ameacha hapo watoto wawili, mmoja ana miaka 2 na mwingine ana 4.

Leo ni mwezi wa pili jamaa anaendelea kufurahia tigo ya house girl. Kinachonisikitisha na kunishangaza, yaani tumefikia hatua hii jamani? kusema kweli mimi kama mwanaume nimejisikia kuumia sana moyoni mwangu! kwanini tunawa-treat hivi hawa viumbe? Nawasilisha jamani.
 
lol....siku zote vitu haramu ndo huwa vinapendeza kweli machoni mwa wanadamu,

siju ni kwanini tu,................................................

ngoja nile mtori hapa kwanza , nitarudi...................
 
Mh huyo housegirl kaamua kubaki?
Kweli dunia iko ukingoni
 
imenisikitisha sana...kisa eti twanga kotekote mwanamke hataki laana tupu na wanawake nao pia tatz housegirl kabak na anasema eti ajui kumtunza mwanaume acha yey anayejua kutunza afanye mambo...
 
mbona hueleweki??? eti housegirl anaweza kuruka ukuta...jamaa anafurahia tigo ya housegirl...maana yake nini???? tumia basi lugha nzuri bwana ili tuelewane.
 
dhu! huu ulimwengu sasa ni zaidi ya sodoma na gomora.

huyo mwanamke aliyeondoka na yeye hana huruma kwa wanae?? amewezaje kuondoka na kuwaacha wanae wadogo hivyo? 2yrs, and 4yrs hapana mie siwezi popote wanangu ndio pochi yangu
 
Hii ya moto moto kutoka Clouds. Mwanaume mmoja huko Shinyanga amefumaniwa (tena ndani ya chumba chake na mamsapu) akila uroda na house girl wao. Imekuja kujulikana huwa anamla takribani miezi 6 sasa - house girl wamekaa naye zaidi ya miaka 2 sasa. Wife alivyotaka kujua kwanini jamaa anamla huyo house girl, jamaa akadai eti house girl anaweza kuruka ukuta wakati yeye wife hataki. Hivyo kama anataka aendelee naye basi naye akubali kuruka ukuta (sasa sijui atakaa nao wote wawili au ...). Mama wa watu amejiondokea, ameacha hapo watoto wawili, mmoja ana miaka 2 na mwingine ana 4. Leo ni mwezi wa pili jamaa anaendelea kufurahia tigo ya house girl. Kinachonisikitisha na kunishangaza, yaani tumefikia hatua hii jamani? kusema kweli mimi kama mwanaume nimejisikia kuumia sana moyoni mwangu! kwanini tunawa-treat hivi hawa viumbe? Nawasilisha jamani.

i wsh wanaume wote wawe na moyo na akili km za kwako.

may god bles ya
 
Mambo ya kileo hayo,oooh mtandao ndo dili sijui nini!Haya bana
 
Huyo baba analaana sio bure,pole zake huyo mama mungu atamsaidia

Mungu humsaidia anayejisaidia!!! Huyo mama yafaa akae "ngumu". amtimue housegirl pamoja na huyo baba waende wakaeneze upuuzi wao kwingineko na siyo chumbani kwa huyo mama. just imagine haya yote yafanyika kwenye matrimonial bed....hii balaa
 
Yesu, uya uya
Yesu uya uya
Yesu uya..uyaaaaa
Ikunda msie wuyanenyi
Yesu uya uya..woimeny!
 
Hii ya moto moto kutoka Clouds. Mwanaume mmoja huko Shinyanga amefumaniwa (tena ndani ya chumba chake na mamsapu) akila uroda na house girl wao. Imekuja kujulikana huwa anamla takribani miezi 6 sasa - house girl wamekaa naye zaidi ya miaka 2 sasa. Wife alivyotaka kujua kwanini jamaa anamla huyo house girl, jamaa akadai eti house girl anaweza kuruka ukuta wakati yeye wife hataki. Hivyo kama anataka aendelee naye basi naye akubali kuruka ukuta (sasa sijui atakaa nao wote wawili au ...). Mama wa watu amejiondokea, ameacha hapo watoto wawili, mmoja ana miaka 2 na mwingine ana 4. Leo ni mwezi wa pili jamaa anaendelea kufurahia tigo ya house girl. Kinachonisikitisha na kunishangaza, yaani tumefikia hatua hii jamani? kusema kweli mimi kama mwanaume nimejisikia kuumia sana moyoni mwangu! kwanini tunawa-treat hivi hawa viumbe? Nawasilisha jamani.
Hapo kwenye red kwani una jinsia gani ?
 
lol....siku zote vitu haramu ndo huwa vinapendeza kweli machoni mwa wanadamu,siju ni kwanini tu,................................................ngoja nile mtori hapa kwanza , nitarudi...................
Teh! Kwan tigo ni haramu? Wanasema ukishaanza tigo huiachi lol!
 
Jamani jamani!!!!!! lakini huyu mama angemuondoa hg, kisha akaondoka yeye na wanae hata kama hg angerudi lakini angekuwa amerudi kivyake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom