Hii ya kufungua Club ya dini imekaaje wakuu?

Kazitunayo

JF-Expert Member
Mar 30, 2013
3,772
3,160
Kuna club inafunguliwa maeneo ya mbezi beach inaitwa LA club itakua inapiga nyimbo za dini tupu,mavazi ya heshima na vinywaji ni soda na juice tu katikati ya mziki kutakua na maombi alaf mziki kama kawaida..naombeni maoni yenu
 
!
!
kwani club ni nini mkuu!.....
1. group of people organized for a social, literary, or other purpose e.g. an athletic club
2. The building or rooms occupied by such a group
3. an organization that offers its subscribers certain benefits, as discounts on purchases: e.g. a book club au kama hiyo unayoilalamikia
 
Kuna club inafunguliwa maeneo ya mbezi beach inaitwa LA club itakua inapiga nyimbo za dini tupu,mavazi ya heshima na vinywaji ni soda na juice tu katikati ya mziki kutakua na maombi alaf mziki kama kawaida..naombeni maoni yenu

....katafute dictionary utapata majibu,tatizo liko kwenye tafsiri tu...
 
Usiniambie muda wa kuingia LA Club ni usiku? Je, rstiba ni kila juma pili au?
 
ni kweli kabisa hii club ya kilokole itafunguliwa soon na mmiliki wake ni MCHUNGAJI HARRIS KAPIGA WA KANISA LA NCHI YA AHADI. pia night club hii ilishaandikwa hata kwenye gazeti la nyakati.
 
ni kweli kabisa hii club ya kilokole itafunguliwa soon na mmiliki wake ni MCHUNGAJI HARRIS KAPIGA WA KANISA LA NCHI YA AHADI. pia night club hii ilishaandikwa hata kwenye gazeti la nyakati.

Hakuna tatizo wakati ndani ya kanisa kunarindima vinanda
 
ni kweli kabisa hii club ya kilokole itafunguliwa soon na mmiliki wake ni MCHUNGAJI HARRIS KAPIGA WA KANISA LA NCHI YA AHADI. pia night club hii ilishaandikwa hata kwenye gazeti la nyakati.

Huyu kijana naye ni mchungaji siku hizi? Alishaacha michezo michafu!
 
Kuna club inafunguliwa maeneo ya mbezi beach inaitwa LA club itakua inapiga nyimbo za dini tupu,mavazi ya heshima na vinywaji ni soda na juice tu katikati ya mziki kutakua na maombi alaf mziki kama kawaida..naombeni maoni yenu

muulize mwasisi wa mpango huu - ameona kuna mapungufu gani kwenye makanisa, semina na mikutano ya kiroho ambako haya yote aliyoyataja yanapatikana? labda kama anaanzisha dhehebu jipya!!
 
Nimesiki wakiinadi clauds... msemaji wa hiyo club anasema ndani kutakua na mwanga hafifu, kama club za kawaida, HIVO WALE WENYE HAIBA KUCHEZA KWENYE MWANGA ITAWAFAA!!!!
 
Back
Top Bottom