peace2007
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 212
- 81
Kwa
wakristo Yesu alikuja kuokoa wenye dhambi ambao ni mimi, wewe, na huyo
Kapiga.....haijalishi ni dhambi ya aina gani.....kama unamuona ndugu,
rafiki, jirani ameanguka dhambini ongea naye kwa upendo na muombee bila kukoma ili aiache dhambi......usihukumu ili nawe usikukumiwe.......hiyo ni club tu anayependa aende asiependa asiende....so far jamaa hajavunja sheria ya nchi!
wakristo Yesu alikuja kuokoa wenye dhambi ambao ni mimi, wewe, na huyo
Kapiga.....haijalishi ni dhambi ya aina gani.....kama unamuona ndugu,
rafiki, jirani ameanguka dhambini ongea naye kwa upendo na muombee bila kukoma ili aiache dhambi......usihukumu ili nawe usikukumiwe.......hiyo ni club tu anayependa aende asiependa asiende....so far jamaa hajavunja sheria ya nchi!