Hii ya kufukuza wanafunzi wasiofikia maksi zilizowekwa

Innocenthezron

JF-Expert Member
Oct 13, 2016
393
469
Wakuu kuna baadhi ya shule naomba nizitaje kama st getrude, herritage, lonica na nyingine kibao za binafsi nimeshuhudia wanafunzi wakifukuzwa na kuambiwa wakatafute shule nyingine kwa maana hawawezi kuendelea na kidato cha nne kisa hawajafikia wastani uliowekwa
Me kwa upande wangu naona sio halali kabisa kufanya hivi kama mtu aliweza kufaulu kidato cha pili ushindwe kumpa nafasi ya kumaliza masomo yake??
Kama mtu huwez kuwa katika nafasi ya juu kwa kuwa na wanafunzi pure tuuu maana ndicho wanachokifanya wanatoa wote wasio na uwezo na kuwabakisha wenye uwezo ili tu shule yake i pop up katika matokeo kitu ambacho cdhan ka ni kizuri

Karibuni kwa mawazo wakuu
 
Kwani kuna wazazi wamewahi kulalamika kuhusu watoto wao kufukuzwa sababu ya kutofikisha wastani? Mi nadhani shule binafsi zipo sahihi kabisa kuweka mchujo! Na ikumbukwe pia wengi wanaokwenda private ni wale walioshindwaga kchaguliwa kwenye shule za government. Why serikali imepata wivu?
 
Kwani kuna wazazi wamewahi kulalamika kuhusu watoto wao kufukuzwa sababu ya kutofikisha wastani? Mi nadhani shule binafsi zipo sahihi kabisa kuweka mchujo! Na ikumbukwe pia wengi wanaokwenda private ni wale walioshindwaga kchaguliwa kwenye shule za government. Why serikali imepata wivu?
Kuna gazeti la nipashe wazazi wamelalamika balaaa kuhusu hili suala

Me mwenyewe kuna mdogo wangu ameumwa almost miezi mitatu kafanya mtihani kakosa maksi tatu tuu kufikia wastan kafukuzwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom