King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,632
- 68,560
Hii hatari sana sasa wapi kuna usalama maana YARD nako nasikia ujanja ujanja tu , mkononi nako ujanja ujanja tu labda sasa niagize mwenyewe japan
Aliuziwa na Mbongo ambaye anaishi japan na anafanya biashara ya kuuza vitu used kama anavyofanya Chris Lukosi ,ila inaonekana na yeye aliiununua tradecarview na kumuuzia jamaa yangu.....km za trade carview ni zaidi ya laki ila alivyotumiwa B/L na mbongo km zilikuwa chini ya elfu 50...Tulivyofanya comparison tukagundua ile digit ya mwanzoni ndio aliondoa(kupunguza) zile nyingine zilibaki vilevile.
Gari za Japan nunua yenye km zaidi ya laki maana itakuwa imefanyiwa service nzuri.