Hii ya kubadilisha KM za gari hivi ni kweli ipo? Kuna gari namba BAC ina KM 38900 TOYOTA KLUGER jamaa anaiuza

Hii hatari sana sasa wapi kuna usalama maana YARD nako nasikia ujanja ujanja tu , mkononi nako ujanja ujanja tu labda sasa niagize mwenyewe japan

Aliuziwa na Mbongo ambaye anaishi japan na anafanya biashara ya kuuza vitu used kama anavyofanya Chris Lukosi ,ila inaonekana na yeye aliiununua tradecarview na kumuuzia jamaa yangu.....km za trade carview ni zaidi ya laki ila alivyotumiwa B/L na mbongo km zilikuwa chini ya elfu 50...Tulivyofanya comparison tukagundua ile digit ya mwanzoni ndio aliondoa(kupunguza) zile nyingine zilibaki vilevile.

Gari za Japan nunua yenye km zaidi ya laki maana itakuwa imefanyiwa service nzuri.
 
Jamaa yangu alishawahi kufanyiwa huo Uhuni ndio nilikuja kumtonya gari ilikuwa na km chini ya 50000,wajapenga walivyotuma B/L nikamwambia anitumie Chassis number ,nikaingia online kuisearch ile Chassis ikanipa link ya hiyo gari ilikuwa Tradecarview inauzwa,kuifungua hiyo link nikakuta kweli ni gari ile ile ila km zilikuwa halisi ni zaidi ya laki baada ya kuangalia vizuri ni kwamba wajanja waliomuuzia walifuta tu moja ya mwanzoni na kubakiza digits za mbele.
Hii hatari sana sasa wapi kuna usalama maana YARD nako nasikia ujanja ujanja tu , mkononi nako ujanja ujanja tu labda sasa niagize mwen
Aliuziwa na Mbongo ambaye anaishi japan na anafanya biashara ya kuuza vitu used kama anavyofanya Chris Lukosi ,ila inaonekana na yeye aliiununua tradecarview na kumuuzia jamaa yangu.....km za trade carview ni zaidi ya laki ila alivyotumiwa B/L na mbongo km zilikuwa chini ya elfu 50...Tulivyofanya comparison tukagundua ile digit ya mwanzoni ndio aliondoa(kupunguza) zile nyingine zilibaki vilevile.

Gari za Japan nunua yenye km zaidi ya laki maana itakuwa imefanyiwa service nzuri.
Nashukuru kwa ushauri kama kuagiza itabidi niongeze budget maana TRA huko wana mabao ya mkono huko, ndio maana nikawa nataka nipate hapa hapa kwa waswahili wenzangu lakini sasa kwa trend hii nishaingia hofu kubwa.
 
Jamaa yangu alishawahi kufanyiwa huo Uhuni ndio nilikuja kumtonya gari ilikuwa na km chini ya 50000,wajapenga walivyotuma B/L nikamwambia anitumie Chassis number ,nikaingia online kuisearch ile Chassis ikanipa link ya hiyo gari ilikuwa Tradecarview inauzwa,kuifungua hiyo link nikakuta kweli ni gari ile ile ila km zilikuwa halisi ni zaidi ya laki baada ya kuangalia vizuri ni kwamba wajanja waliomuuzia walifuta tu moja ya mwanzoni na kubakiza digits za mbele.

Mkuu asante sana ....umenikumbusha njia ya uhakika zaidi ni hiyo ya kutumia chassis number na dunia mzima hutumia njia hiyo hata kujua kama gari ni ya wizi huko ulaya, narudia kusema asante sana ....JF ni dictionary ya maisha ya kila mtu na sote tuseme "Kazi iendeleee"
 
Mkuu asante sana ....umenikumbusha njia ya uhakika zaidi ni hiyo ya kutumia chassis number na dunia mzima hutumia njia hiyo hata kujua kama gari ni ya wizi huko ulaya, narudia kusema asante sana ....JF ni dictionary ya maisha ya kila mtu na sote tuseme "Kazi iendeleee"
Naomba muongozo hii ya chasis namba naitumiaje
 
Hii hatari sana sasa wapi kuna usalama maana YARD nako nasikia ujanja ujanja tu , mkononi nako ujanja ujanja tu labda sasa niagize mwen

Nashukuru kwa ushauri kama kuagiza itabidi niongeze budget maana TRA huko wana mabao ya mkono huko, ndio maana nikawa nataka nipate hapa hapa kwa waswahili wenzangu lakini sasa kwa trend hii nishaingia hofu kubwa.

Gari za Bongo achana nazo ,barabara zetu sio rafiki ,pia wabongo hatujui kutunza gari service mpaka gari iwe mbovu ndio unaipeleka,ni bora ununue gari ya japani iliyotumika kule miaka 10 kuliko gari iliyokuja na zero km hapa bongo na kutumika mwaka mmoja.
 
Naomba muongozo hii ya chasis namba naitumiaje


://www.autodna.com/vin-check

Kwa kifupi punguza gharama na utapeli wao kwa kuagiza used Car from Japan kwani mie na hela yangu ya kuunga unga nilitembelea maduka mengi sana hapo Dar na mwisho nikagundua kuwa gharama ya kununua gari ndogo show room hapo Dar ni kubwa kuliko kuagiza Japan kwani baada ya kuifikisha show room walikuwa wanaongeza kitu kama M3 - 5 hivi na nilipowauliza hiyo tofauti wakaniambia bra bra kibao pamja na gharama za kulipia pango, kulipia walinzi, wafanyakazi wao, admin issues etc,

Wengi wetu huogopa kuibiwa mtandaoni lakini ukiwa makini hiyo ndio njia muafaka kuwakwepa matapeli wetu na njaa zao
 
Nilijiroga nikaenda showroom kununua gari yangu ya kwanza mwaka jana. Kama unavojua mara ya kwanza unakua ushamba na mzuka uliopitiliza nilienda na fundi kabisa ila nais fundi alipewa fungu. Ile gari ilinisumbua sana nmeuza kwa hasara, kununua gari showroom au kwa ngozi nyeusi siji jaribu nitaagza mwenyew japan hta kama itachelewa no problem.
 
Shida wabongo hatupendi ukweli na uwazi
Tuna bajeti ndogo halafu tunataka gari zenye low Milleage tukiamini ndiyo ziko bora.
 
Kwa kifupi kurudisha kilometers ni jambo lipo kabisa.
Sasa kama unataka kununua gari second hand especial kama hiyo kuna vitu vya kuangalia
1. Bado hiyo injini iko kwenye ubora?
2.Body
3.Bei iendane na gari anayokuuzia ...Gari kama hiyo kilometers si kitu cha kuongelewa tena.
Bibi Mzee ni Bibi Mzee hata kama hakufanikiwa kupata Mtoto ...hawezi jiita msichana.
Unawezaje kujua kama engine bado ina ubora mkuu?
 
Mchezo huo upo 100% hapa Tz hasa ukinunua kwa mtu asiye mwaminifu/vishoka au madalali, pia kuwa mwangalifu sana unapenda kwenye show room za hapa kwetu mtaani magari mengi yamefanyiwa utundu huo wa kurudisha nyuma Km ili gari ipate sko kwa bei ya faida kubwa,

Kabla ya kununua gari kama hiyo jiridhishe na historia yake toka kwa watu waliokaribu nay , peleleza gereji gani ilikuwa inapelekwa toka kwa watu kama houseboy wa nyumba hiyo, watoto wa nyumbani hapo, majirani na hasa vijana wa mtaani watakupatia details zote muhimu kuhusu mwenendo wa gari husika,

Mwish kabisa take trouble ya kupata document halisi zilizoleta hiyo gari nchini na umjue muuzaji toka huko ilikokuwa then contact him na akiwa na ushirikiano atakupa mre details
Sasa hizi tabu si bora uingie show room tu! Upate na makazi ya upelelezi kisa unataka ununue gari ya million 5
 
Huo mchezo mie pia lazma niufanye! Ntapunguza kilometre laki 1 kutoka katika zile zilizopo! Siwezi kupata tabu kuuza gari wakati solution zipo!
Najitahidi kutunza body lisichakae sana tu million 5 yangu iko pale pale!
 
Kaondoa moja ya mwanzoni Km sahihi ni 138900.
Kwa hio gari hizo bado ni KM ni chache ni ujinga tu wa wamiliki wa magari bongo + ujinga wa wanunuzi kupenda kudanganywa kwa gari kuonyesha KM chache.

Hio gari hata ikiwa na km 170,000 mimi nainunua bila kelele kabisa lkn ukishaichezea tu KM siitaki hata kwa dawa.
 
Niliwahi kununua Kluger namba B kutoka kwa mbongo yenye km 56k. Mwanzoni niliamini amechezea ODO lakini baadaye nilijiridhisha kwa kuona kadi za service kwani zote alizitunza kwa kuzipachika kwenye switch ya wiper. Kwa hiyo gari namba B zenye kilometer chache zipo kweli cha msingi ni kujiridhisha kama ni kweli hizo km ni za halali.
 
Back
Top Bottom