MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Leo hasubuhi clouds kipindi cha magazeti nimesikia waziri wazamani wa mambo ya ndani ameenda ofisini kwa mbunge wa mwanza nymagana na kung`oa vitasa na kubeba picha ya rais kwa madai kuwa alivinunua mwenyewe..
Je imekaaje hii?
Je imekaaje hii?