Comrade 01
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 601
- 624
Ndio ni wanajeshi ambao wanasimamia mgambo.Lakini si wanajeshi wa Jwtz?
Ndio ni wanajeshi ambao wanasimamia mgambo.Lakini si wanajeshi wa Jwtz?
Lakini alisema mahitaji ya ndani ni tani 35000 kwa mwezi hakuona hiyo deficit iliyopo.Mh Hasunga jana ameliambia bunge kwamba kuna tani zaidi ya 20,000 melini zinakuja na tani nyingine 500 kutoka SA zinavuka mpaka wa Kasumulu hivyo tatizo litaisha soon!
Ndio ni wanajeshi ambao wanasimamia mgambo.
Hivi mshauri wa mgambo si huwa mmoja tu auHao wanajeshi ni wale waliopo katika ofisi ya mshauri wa mgambo wa wilaya.Wanaongoza wanamgambo,mkuu wa wilaya au mkoa Hana mamlaka ya kuliamuru Jeshi.Amri yake yeye ni Kwa polisi,na jeshi la mgambo.
Ni mmoja,lakini ana wasaidizi.Maana ile ni ofisi ya mshauri wa mgambo,Kwa hiyo Kuna mambo ya kiutendaji.Mfano katika mkoa Kuna mshauri wa mgambo wa mkoa ambaye ni afisa wa jeshi wa cheo cha luteni kanali.Hivyo lazima awe na wasaidizi kuanzia mkoani hadi wilaya.
Jibu ni mkuu wa wilaya,akiwa na kamati ya ulinzi na usalama.Ambayo ina mshauri wa mgambo,mkuu wa polisi wilaya(OCD),mkuu wa idara ya uhamiaji wilaya,mkuu wa magereza wilaya,afisa usalama wa wilaya(DSO),na mkuu wa takukuru wilaya.Nani aliwapa amri ya kusaka wauza sukari wa bei isiyoelekezi?
Jibu ni mkuu wa wilaya.Jibu ni mkuu wa wilaya,akiwa na kamati ya ulinzi na usalama.Ambayo ina mshauri wa mgambo,mkuu wa polisi wilaya(OCD),mkuu wa idara ya uhamiaji wilaya,mkuu wa magereza wilaya,afisa usalama wa wilaya(DSO),na mkuu wa takukuru wilaya.
Kama uliona jezi huyo ni mojawapo wa mjumbe wa kamati ya ulinzi na usalama kimuundo,ambapo DC ndo mwenyekitiYohana, msako wa sukari mpaka Jwtz wanahusishwa? Kwani kuna watu wameficha Ak 47 majumbani kwao?
Jiwe alikurupuka kama alivyokurupuka kwenye biashara ya korosho. Na hakuna wa kumshauri vinginevyoTunahangaika kulinda viwanda vya ndani ambavyo havilindiki? Watu gani hawa kila wakati ni full excuses tu?
Tena zile zile mwaka kwa mwaka... Ubovu wa mitambo, sijui malighafi!!!! kwa nini tutese mamilioni ya Watanzania kwa Maelf?
Leo nimezunguka na elf 10 sijapata hata robo. Ajabu hapo Zanzibar kilo moja ni sh 2,000 na ipo tele.
Mithali 26:4 Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye....Tatizo lako wewe ni chuki. Sukari limekuwa ni tatizo la muda mrefu wala sio kwenye utawa wa JPM tu. Umesahau kwa nini Marehemu Iddi Simba alijiuzuru sababu ya nini? Kwa ufupi awamu zote kumekuwa na tatizo ambalo linatakiwa kushughulikiwa. Alafu unafanya makosa kumuita mkuu wa nchi kibwengo. Acha lugha za kipuuzi.
Ila wenye hekima humfahamu mpumbavu.Mithali 26:4 Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye....
Mpumbavu hajijui kama yeye ni mpumbavu ila wengine wote ndiyo wanamjua. Rudi kwenye post zako kwenye thread zote nenda ukaone jinsi watu wanavyokunanga ndiyo uyajuwa kuwa MPUMBAVU ni wewe. Halafu pitia post zangu ukaone madini yanavyoteremka na likes ninazopata.Ila wenye hekima humfahamu mpumbavu.
Ahaaaaaaa. WanaCdm wanananga au hawataki ukweli.Mpumbavu hajijui kama yeye ni mpumbavu ila wengine wote ndiyo wanamjua. Rudi kwenye post zako kwenye thread zote nenda ukaone jinsi watu wanavyokunanga ndiyo uyajuwa kuwa MPUMBAVU ni wewe. Halafu pitia post zangu ukaone madini yanavyoteremka na likes ninazopata.
Kumtukana Rais kumbe ni madini? Hongera sanaMpumbavu hajijui kama yeye ni mpumbavu ila wengine wote ndiyo wanamjua. Rudi kwenye post zako kwenye thread zote nenda ukaone jinsi watu wanavyokunanga ndiyo uyajuwa kuwa MPUMBAVU ni wewe. Halafu pitia post zangu ukaone madini yanavyoteremka na likes ninazopata.
Waambie wasiongozane wengi kuna coronaKiukweli hili swala la uhaba wa sukari kama litaendelea tutashuhudia mengi.
Nimemwona Mkuu wa wilaya ya Igunga mh Mwaipopo kupitia Star tv akiwa na lundo la askari polisi waliochanganyika na JW pamoja na migambo wakisaka walanguzi wa sukari mitaani.
Kumbe hii nayo ni vita kama ile ya Corona.
Hakika nimekumbuka madhara ya vita vya Kagera miaka ya 80, walanguzi walisakwa na migambo baada ya miaka 40 msako umeongezewa nguvu kwa kuwajumuisha askari polisi na JW.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Rais ni nani? Ana tofauti gani na chagu wa malunde ? Usijekuta wewe una hadhi na busara kuliko yeyeKumtukana Rais kumbe ni madini? Hongera sana
Kasome ibara ya 33 ya katiba ya JMT, rais ni mkuu wa nchi. Hata kama unamkosoa tumia lugha ya staha. Haijalishi wewe unavyofikiria.Kwani Rais ni nani? Ana tofauti gani na chagu wa malunde ? Usijekuta wewe una hadhi na busara kuliko yeye