sidhani kama ni kweli nimeuliza mawakala hapa wa tiketi, wenyewe wanasema HII NDO STAND YETU
Karibu Mjin
hao wamekaa kwenye hii stand more than 5 years, huo ujenzi haulamiliki au ni extended. Fanyeni marejebishoMawakala wa tigopesa unawauliza mambo ya ujenzi! Wapi na wapi?
Chanzo cha taarifa yako kina mashiko sana kwenye huu uchunguzi wako.
Nenda pata taarifa mahala sahihi.
ndo maana nimeshangaa stand ya jiji kuwa na mwonekano huo