Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Wale wazazi wenye watoto wanaosoma mbali na nyumbani (Hostel) jiandae vyema kutunza nauli za wanenu muda wowote toka sasa mnaweza kusikia tamko serikari imefunga vyuo na shule zote za msingi na secondary ili watoto warejee majumbani.
Mjiandae kujiwekea akiba kwa sababu ya nauli zao,na ikiwezekana muwatumie kabisa wanenu kama dharura lolote likitokea wawe tayari kwa safari.
NB: Tupo kwenye mpambano kama Taifa kila mtu ajilinde na amlinde jirani yake,ukijisikia dalili yeyote inayoshabiana na ugonjwa huu wa Corona. Toa taarifa mapema ili upatiwe huduma.
Wale tuliokula miguu ya kuku kama mimi tusiotulia mahala pamoja tujitaidi sana wakati huu tujizuie sana kutoka pasipo na sababu ya msingi. Kila mmoja ana Nafasi kubwa ya kupata ugonjwa huu.
Iwe mtoto, mkubwa na ata mzee wote tupo kwenye chain cha muhimu ni kutoa Elimu na kukumbushana kila inapobidi.
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjiandae kujiwekea akiba kwa sababu ya nauli zao,na ikiwezekana muwatumie kabisa wanenu kama dharura lolote likitokea wawe tayari kwa safari.
NB: Tupo kwenye mpambano kama Taifa kila mtu ajilinde na amlinde jirani yake,ukijisikia dalili yeyote inayoshabiana na ugonjwa huu wa Corona. Toa taarifa mapema ili upatiwe huduma.
Wale tuliokula miguu ya kuku kama mimi tusiotulia mahala pamoja tujitaidi sana wakati huu tujizuie sana kutoka pasipo na sababu ya msingi. Kila mmoja ana Nafasi kubwa ya kupata ugonjwa huu.
Iwe mtoto, mkubwa na ata mzee wote tupo kwenye chain cha muhimu ni kutoa Elimu na kukumbushana kila inapobidi.
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app