nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,513
- 19,998
Anaedhalilishwa ni yule ambae yupo hai. Huyo jamaa hana hata habari saa hizi, nna uhakika yupo motoni.
hivi kwa nini mnamswalia mtume?hivi mtu aliyekuwa peponi kuna haja ya kumswalia ili mwenyezi mungu amrehemu..go read your holy Qur'an before you pass judgements..