Kwa bla bla bla za leo' tukimpa nchi yatatokea ya libya nasi tuonje joto ya jiwe
Umeandika nini sasa,unahitaji rais mwongeaji mchague MPOKI wa ze commedy.
Umeandika nini sasa,unahitaji rais mwongeaji mchague MPOKI wa ze commedy.
Dr.W.Slaa na Mzee Mwanakijiji,vipi na hawa watu hapo Chato wamebebwa na kusombwa?! Watu wazima nyie,punguzeni unafiki,mmefika bei basi kuweni kama Lipumba tu au masharti ya biashara yanawabana?!!
Kwa bla bla bla za leo' tukimpa nchi yatatokea ya libya nasi tuonje joto ya jiwe
hii inaitwa "jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni" yaani wa kwanza atakuwa wa mwisho na mwisho atakuwa wa kwanza.Mungu ndiye anapanga yote atakayo. Aliyetukanwa sana hata kwa ugonjwa jambo ambalo ni mapenzi ya Mungu, akasingiziwa mengi sana, akatabiriwa kifo lakini uyo ndiye watu bado wanampenda sana. Lolote laweza kutokea.