ni mpare wa huku kwetukwani MO ni mchaga?(joking)
Hahaha Mkuu mi mwenyewe Nshomile lakini ule msiba ulijaa promo zaidi cos vituo vyake ni vya promo lakini huu haukuwa na promo japo sikatai utajiri wa Mzee ndo umempa umaarufu kias hichi but yote kwa yote Namuheshimu Mzee Mengi kilichojitokeza njiani mpaka leo siku anaagwa alistahili kukipata. #RIP Mzee MengiMo ana wenge baada ya kuona msiba wa Mengi umefunika bila promotion, ukilinganisha na ule msiba wa Bukoba ambao ulijaa sifa za uwongo.
Mwingine anamsifia marehemu kuwa alimfundisha kutembea mitaani peku ili afahamike
Aaaaaah umenifungua macho mkuu katika comments zoooote hii ndio inamajibu ya uzi vilevile maswaliDr. Mengi aliwasidia Vilema, Maalbino, Wazee n.k hao alifaidika nao nini?.
Sio vilema. NI watu wenye ulemavuDr. Mengi aliwasidia Vilema, Maalbino, Wazee n.k hao alifaidika nao nini?.
NYOTA ZAO, NDUGU KUNA UCHAFU MWINGI NYUMA YA HAWA MATAJIRI/MADONI WA MJINI.MENGI HAJAFA KIFO CHA KAWAIDA.NA ILIKUWA LAZIMA IWE HIVYO.Dr. Mengi aliwasidia Vilema, Maalbino, Wazee n.k hao alifaidika nao nini?.
HahaMo ana wenge baada ya kuona msiba wa Mengi umefunika bila promotion, ukilinganisha na ule msiba wa Bukoba ambao ulijaa sifa za uwongo.
Mwingine anamsifia marehemu kuwa alimfundisha kutembea mitaani peku ili afahamike
Mambo ni mengi kweli,Mo ana wenge baada ya kuona msiba wa Mengi umefunika bila promotion, ukilinganisha na ule msiba wa Bukoba ambao ulijaa sifa za uwongo.
Mwingine anamsifia marehemu kuwa alimfundisha kutembea mitaani peku ili afahamike
Mo ana wenge baada ya kuona msiba wa Mengi umefunika bila promotion, ukilinganisha na ule msiba wa Bukoba ambao ulijaa sifa za uwongo.
Mwingine anamsifia marehemu kuwa alimfundisha kutembea mitaani peku ili afahamike
akili kubwa ikikoment point.Dr. Mengi aliwasidia Vilema, Maalbino, Wazee n.k hao alifaidika nao nini?.
Ndiyo vilema mkuu,Mlemavu ni kilema au ulitaka aitwe Fundi au Pilot?Sio vilema. NI watu wenye ulemavu