dmaujanja1
JF-Expert Member
- Nov 24, 2008
- 223
- 68
Kuna kitu kinanitatiza ktk Tv show ya Mnet. Kipind kinaitwa Bachelorette. Kuna kina kaka wanafight kwaajili ya kumpata binti (waoane). Before sikutake hii kitu siriaz lakini juzi kati kuna washiriki walitolewa wakawa wanamajonzi sana kinachonishangaza zaidi washiriki wote ni watu wanaprofeshen zao na wote wanafanya naye Romance huyo mdada.
Je wakubwa hii show ni reality au? Je Wazungu akili zao ni timamu au Umaarufu tu.
Je wakubwa hii show ni reality au? Je Wazungu akili zao ni timamu au Umaarufu tu.