ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Hate or love them, hawa ccm hawana aibu sote twajua,wananunua kwa pesa,wanatumia nguvu na vitisho kufanikisha wanalotaka
Ila kwa hili la watu kurudi kwao especially kwenye issue ya mbunge wa Cuf bwana Mtulia naweza kusema sasa CCM wamejua pa kupigilia msumari au kumwagia chumvi kwenye kidonda
Si nyote mnakumbuka kinondoni mwaka 2015 ni mojawapo ya majimbo ambayo wizi wa kura ulishindikana? vijana walihamasika wakalinda kuara hadi FFU wakapiga mabomu ya kutosha ya machozi?
I was there wakati mtulia anatangazwa ilikuwa ni shangwe kuu hadi kuna FFU mmoja akawa anaongea na simu na mtu huku naye akifurahi kwa kusema ccm kapigwa hukuu
Sasa kama ccm inaanza kununua wabunge waliopitishwa in expense ya damu na viungo vya watu ,tactics yao inafanikiwa,they are winning
2020 HAKUNA TENA KIJANA ATAKAYEHANGAIKA KUPOTEZA VIUNGO AU KUPATA MAJERAHA KWA SABABU YA WABUNGE WA AINA YA MTULIA
MAGUFULI ANAKUWAGA NA MSEMO WAKE WA KUSEMA MSIWAAMINI WANASIASA,NI KWELI KAAMUA KUWAONYESHA WANANCHI WASIWAAMINI WANASIASA,HADI 2020 MSISIMKO WA KISIASA UTAKWISHA KABISA.
Ila kwa hili la watu kurudi kwao especially kwenye issue ya mbunge wa Cuf bwana Mtulia naweza kusema sasa CCM wamejua pa kupigilia msumari au kumwagia chumvi kwenye kidonda
Si nyote mnakumbuka kinondoni mwaka 2015 ni mojawapo ya majimbo ambayo wizi wa kura ulishindikana? vijana walihamasika wakalinda kuara hadi FFU wakapiga mabomu ya kutosha ya machozi?
I was there wakati mtulia anatangazwa ilikuwa ni shangwe kuu hadi kuna FFU mmoja akawa anaongea na simu na mtu huku naye akifurahi kwa kusema ccm kapigwa hukuu
Sasa kama ccm inaanza kununua wabunge waliopitishwa in expense ya damu na viungo vya watu ,tactics yao inafanikiwa,they are winning
2020 HAKUNA TENA KIJANA ATAKAYEHANGAIKA KUPOTEZA VIUNGO AU KUPATA MAJERAHA KWA SABABU YA WABUNGE WA AINA YA MTULIA
MAGUFULI ANAKUWAGA NA MSEMO WAKE WA KUSEMA MSIWAAMINI WANASIASA,NI KWELI KAAMUA KUWAONYESHA WANANCHI WASIWAAMINI WANASIASA,HADI 2020 MSISIMKO WA KISIASA UTAKWISHA KABISA.