Hii trend (wanawake kuwa Juu) inatishia mstakabali wa Jamii yetu hapa Dar/TZ!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,785
Nimejaribu kufanya utafiti wangu binafsi na nimegundua kwamba sasa hivi TZ na hasa mji wetu wa Dar na kwingineko, Wanawake wako mbele sana kimaendelo klk Wanaume, hapa siongelei namba kiujumla bali naongelea trend, kazi nyingi zinazolipa vizuri leo hii hapa Dar wadada ndiyo wanazipata, jaribu tu kutembelea ofisi ambazo zinalipa vizuri kuanzia mabenki, Kampuni za Simu au hata NGO's utaona wadada kwa kweli ni wengi sana!

Sasa hii ni hatari kwa ustawi wa jamii yetu, tayari kuna vijana wengi leo hii wanalalamika hawapati wenza, yaani imekuwa ngumu sana kwa maana ikumbukwe kwamba Wanawake siku zote na hii ni Dunia nzima huchagua Mwanaume ambaye labda yuko naye sawa au ambaye (Mwanaume) yuko juu yake hasa kwenye kipato, Elimu n.k na jinsi mambo yanavyoonekna huko mbele hali itakuwa ngumu zaidi kwani ukienda vyuoni Wasichana ni wengi zaidi wanaosoma klk Wanaume hivyo tunahatari ya kuwa jamii ambayo Wanawake wana uwezo klk wanaume na hivyo hii kuathiri jamii yetu, nini kifanyike?
Ni swali gumu sana kwa maana siyo kosa la Wanawake hali kuwa hivyo kwani ni juhudi zao wenyewe na sasa wanakaribia kushika usukani wa nchi!
Sina jibu lkn ukweli ndiyo huwo!
 
Tatizo haujui kuwa wanawake wanakuja juu na watakuja juu zaidi...

Wakati wanawake wapo busy kujinoa katika field zao na kuwa competitive ..
Wanaume wapo busy katika mipira ya ulaya na kuwafikisha wanawake vileleni...

Kuna thread ilishasema kuwa maongezi ya vijana wa sasa asilimia 90 ni upumbavu..

Sasa utawezaje kushindana na MTU anayejinoa masaa yote
 
Tatizo haujui kuwa wanawake wanakuja juu na watakuja juu zaidi...

Wakati wanawake wapo busy kujinoa katika field zao na kuwa competitive ..
Wanaume wapo busy katika mipira ya ulaya na kuwafikisha wanawake vileleni...

Kuna thread ilishasema kuwa maongezi ya vijana wa sasa asilimia 90 ni upumbavu..

Sasa utawezaje kushindana na MTU anayejinoa masaa yote


Hayo unayoyasema ndicho nilichomaanisha na ndiyo maana nikauliza Je matokeo yake yatakuwa nini? Kwa maana ukweli ni kwamba hawa Wanawake mara nyingi hawakubali kuwa na mahusiano na Mwanaume ambaye yuko chini yao kielimu, mapato n.k na hivyo hii hupelekea kushindwa kupata mwenza na hali hii tayari inajitokeza hapa Dar ni kawaida kukuta Mwanamke miaka 30 hajapata mwenza, sasa ukiangalia bigger picture hauoni kama jamii yetu itaathirika huko mbele?
 
Tatizo haujui kuwa wanawake wanakuja juu na watakuja juu zaidi...

Wakati wanawake wapo busy kujinoa katika field zao na kuwa competitive ..
Wanaume wapo busy katika mipira ya ulaya na kuwafikisha wanawake vileleni...

Kuna thread ilishasema kuwa maongezi ya vijana wa sasa asilimia 90 ni upumbavu..

Sasa utawezaje kushindana na MTU anayejinoa masaa yote
Hahaaa kweli mkuu hii obsession ya wanaune wa tz na mpira wa ulaya kwa sasa inakuwa kwa kasi na nadhani ni tatizo kwa kizazi chetu, mtu anajua details nyingi za wachezaji wa mpira, na klabu unakaa unajiuliza hivi hii ina relevancy gani kwa maendeleo yake na ya nchi.....???
Wanawake obsession yetu ni Wasafi classic, Zari kaandika nini Instagram, Diamond ame flirt na msichana gani but at least that's relevant to Tz, isn't it?
 
Hayo unayoyasema ndicho nilichomaanisha na ndiyo maana nikauliza Je matokeo yake yatakuwa nini? Kwa maana ukweli ni kwamba hawa Wanawake mara nyingi hawakubali kuwa na mahusiano na Mwanaume ambaye yuko chini yao kielimu, mapato n.k na hiyvo hii hupelekea kushindwa kupata mwenza na hali hii tayari inajitokeza hapa Dar ni kawaida kukuta Mwanamke miaka 30 hajapata mwenza, sasa ukiangalia bigger picture hauoni kama jamii yetu itaathirika huko mbele?
Athari zitakuwepo kulingana NA fikra Zako...
Mwanamke kuolewa ni lazima kwani hata nishani ya kuwa mke kwa mwanamke inazidi chochote anachoweza kufanikisha in life

At least wanawake waje juu maana hata nchi yetu IPO less serious kutokana na wanaume wenzetu wanaoifaidi nchi
 
Hahaaa kweli mkuu hii obsession ya wanaune wa tz na mpira wa ulaya kwa sasa inakuwa kwa kasi na nadhani ni tatizo kwa kizazi chetu, mtu anajua details nyingi za wachezaji wa mpira, na klabu unakaa unajiuliza hivi hii ina relevancy gani kwa maendeleo yake na ya nchi.....???
Hahaaaaaaa yaani mtu anajua hata mchezaji aliyenunuliwa SAA moja iliyopita na wakati hajui hata uchumi wa nchi yetu unaelekea wapi ili ajipange kuzing'amua fursa

Kizazi cha kwetu hiki kinatia huruma maana changamoto kubwa zinazowakumba vijana ni ngono na team yao kufungwa...
Hahaaa eti Mungu ataniletea rizki na mbona husemi blogs zitakuletea matokeo ya match
 
Hayo unayoyasema ndicho nilichomaanisha na ndiyo maana nikauliza Je matokeo yake yatakuwa nini? Kwa maana ukweli ni kwamba hawa Wanawake mara nyingi hawakubali kuwa na mahusiano na Mwanaume ambaye yuko chini yao kielimu, mapato n.k na hivyo hii hupelekea kushindwa kupata mwenza na hali hii tayari inajitokeza hapa Dar ni kawaida kukuta Mwanamke miaka 30 hajapata mwenza, sasa ukiangalia bigger picture hauoni kama jamii yetu itaathirika huko mbele?
Mradi tu niwe Mrs Barbarosa hata kama ni bank manager na Mr Barbarosa ni shoe shiner hapo nje ya bank sitajali.
 
Hayo unayoyasema ndicho nilichomaanisha na ndiyo maana nikauliza Je matokeo yake yatakuwa nini? Kwa maana ukweli ni kwamba hawa Wanawake mara nyingi hawakubali kuwa na mahusiano na Mwanaume ambaye yuko chini yao kielimu, mapato n.k na hivyo hii hupelekea kushindwa kupata mwenza na hali hii tayari inajitokeza hapa Dar ni kawaida kukuta Mwanamke miaka 30 hajapata mwenza, sasa ukiangalia bigger picture hauoni kama jamii yetu itaathirika huko mbele?
Wanaishia kuzaaa tuu Basi mana kuolewa hataki anamua kuzaa anakwambia Ntalea Mwenyewe
 
usishindane na mwanamke hizo elimu wengine wanapata kichupi chupi na kazi anapata kichupi chupi


Nafikiri uko nje ya Mada samahani labda sijakuelewa ulichomaanisha lkn hapa naongelea matokeo na siyo chanzo, hivyo iwe wanapata kwa chupi au ala lkn ukweli ni kwamba hizo kazi zinazolipa vizuri wao (wanawake) ndiyo wanazipata na hivyo kuwapa kipato kikubwa klk Wanaume hali inayopelekea wao pmj na Wanaume kuwa na wkt mgumu kupata mwenza ndicho nilichomaanisha!
 
Back
Top Bottom